CECAFA U 20 KUFANYIKA NOVEMBA 22 ARUSHA
BARAZA la Michezo Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) limetangaza michuano ya vijana chini ya umri wa miaka 20 itataanza kutimua vumbi Novemba...
TIMU YA TAIFA YA MSUMBIJI YENYE LUIS YANYOOSHWA MABAO 2-0 NA CAMEROON
TIMU ya Taifa ya Msumbiji inayonolewa na Kocha Mkuu Luis Goncalves ikiwa nyumbani jana ilipoteza kwa kufungwa mabao 2-0 dhidi ya Cameroon Uwanja wa Estadio...
MO AJA NA MKAKATI KWA AJILI YA SIMBA QUEENS
MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi wa klabu ya Simba, Mohamed Dewji (Mo) amefunguka kuwa, katika vipaumbele ambavyo wametaka kuvifanyia kazi ni pamoja na kuboresha...
POGBA AKIRI KUPITIA MAISHA MAGUMU NDANI YA MANCHESTER UNITED
KIUNGO wa kati wa Manchester United na Ufaransa, Paul Pogba, anasema kwa sasa anapitia kipindi kigumu sana cha kazi yake ya soka kutokana na...
KOCHA SIMBA APIGWA CHINI JUMLAJUMLA
PATRICK Aussems, Kocha wa zamani wa Simba maarufu kama uchebe imeripotiwa kuwa amefutwa kazi ndani ya timu yake mpya ya Black Leopard ambayo alikuwa...
STARS IKIFANYA HAYA LEO INASHINDA MBELE YA TUNISIA
TIMU ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, imeendelea na maandalizi ya kujiwinda na mchezo wa marudiano dhidi ya Tunisia unaotarajiwa kupigwa leo Jumanne kwenye...
LIVERPOOL INA MATUMAINI YA KUWATUMIA NYOTA WAKE WAWILI DHIDI YA LEICESTER
LIVERPOOL ina matumaini ya kumtumia nahodha wao Jordan Henderson pamoja na Andy Robertson kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu England dhidi ya Leicester City...
SIMBA WAMFUATA NTIBAZOKIZA,FARID AGOMEA JEZI YAKE NI NDANI YA SPOTI XTRA JUMANNE
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la SPOTI XTRA Jumanne
MANCHESTER UNITED WAHOFIA TABIA YA MASON, MASHABIKI WAMTAJA MORRISON
TIMU ya Manchester United imepata hofu kuhusiana na tabia ya kinda wao Mason Greenwood kuonekana kupenda kujirusha kuliko kupumzika. Klabu hiyo imesema kuwa kuna hofu...
MSHAMBULIAJI SIMBA AAHIDI KUFUNGA MABAO MENGI AKIPEWA NAFASI NA SVEN
MSHAMBULIAJI wa Klabu ya Simba, Charlse Ilanfya amesema kuwa ikiwa Kocha Mkuu wa timu, Sven Vandenbroeck atampa nafasi ya kuanza kwenye kikosi cha kwanza...