ISHU YA PENALTI YA DABI, MWAMUZI FIFA AFUNGUKA NAMNA HII
UTATA wa penalti waliyoipata Yanga Novemba 7 kwenye mchezo dhidi ya Simba, umezidi kuwa mkubwa kiasi cha Mwenyekiti wa Kamati ya Waamuzi, Soud Abdi Mohammed ambaye...
SIMBA WAPINZANI WAKE NI KUTOKA NIGERIA, MIAMBA HII RAUNDI YA AWALI HAIWAHUSU
LEO Novemba 9, droo ya raundi ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika imefanyika nchini Cairo ambapo kwa Tanzania, Simba inaiwakilisha Tanzania Ligi ya...
NYOTA SABA WA YANGA WAIBUKIA UTURUKI
BAADA ya kumaliza Dar Dabi, Uwanja wa Mkapa Novemba 7 kwa sasa maisha ya wachezaji wa Yanga yapo Uturuki ambapo wameweka kambi ya siku...
DAKIKA 180, DABI YA YANGA NA SIMBA YATAWALIWA NA PENALTI TATA
DABI ya Kariakoo kwa misimu miwili imegubikwa na maamuzi tata kuhusu penalti kwenye mechi zote mbili za mzunguko wa kwanza.Novemba 7, Uwanja wa Mkapa...
BIGIRIMANA BLAISE AFICHUA KINACHOBEBA MAFANIKIO YAKE
BIGIRIMANA Blaise mtupiaji namba moja ndani ya Klabu ya Namungo FC amesema kuwa kikubwa kinachompa nguvu ya kufanya vizuri ni Mungu pamoja na juhudi...
ARSENAL YACHANA MKEKA, YAPIGWA NA ASTON VILLA
EMILIANO Martinez kipa namba moja wa Aston Villa jana Novemba 8 aliibuka shujaa baada ya kutoka na clean sheet kwenye ushindi wa mabao 3-0 ...
KOCHA WA SIMBA:TULISTAHILI KUPEWA PENALTI
KOCHA Mkuu wa Simba, Sven Vandenbroeck amesema kuwa walistahili kupewa penalti kwenye Dar Dabi iliyochezwa Novemba 7 Uwanja wa Mkapa na timu zote kuambulia...
TRENT ALEXNDER WA LIVERPOOL NJE KIKOSI CHA TIMU YA TAIFA YA ENGLAND
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu England Liverpool wanazidi kuingia kwenye majanga baada ya jana Novemba 8 beki wao Trent Alexander Arnold kupata majeraha ya misuli...
YANGA YAMTAJA ALIYEVURUGA MIPANGO YAO KWA MKAPA
KOCHA Mkuu wa Yanga, Cedric Kaze amesema kuwa kuumia kwa beki wake kisiki Lamine Moro kulivuruga hesabu zake na kufanya umakini kwa safu ya...
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATATU
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatatu