ARSENAL WALIWASILISHA DILI LA KUMTAKA PARTEY DAKIKA 32 KABLA DIRISHA LA USAJILI KUFUNGWA
KLABU ya Atletico Madrid imeripotiwa kuwa kwa siku za karibuni, haina mpango wa kufanya biashara tena na Arsenal kutokana na kilichotokea kwenye usajili wa...
KUMBE ISHU YA KOCHA MPYA YANGA TFF ‘WABUMISHA’
KUFUATIA Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kutangaza kusogeza mbele mechi ya watani wa jadi Simba na Yanga ‘Kariakoo Dabi’ kumesababisha kumchelewesha kocha mpya wa...
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMAMOSI
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la Championi Jumamosi
MOURINHO ALIWAAMBIA ZAIDI YA MARA 1,000 WACHEZAJI WAKE WAINYOOSHE MANCHESTER UNITED
KOCHA wa Tottenham, Jose Mourinho amesema kuwa aliwatuma mabeki wake, Serge Aurier na Sergio Reguilon kuhakikisha wanadili na Marcus Rashford na Mason Greenwood, ndiyo...
CRDB TULIWASUBIRI SANA HUKU KIKAPUNI, WENGINE WAIGE MWENDO WENU
NA SALEH ALLYILIKUWA faraja kubwa kwa mara nyingine kuona kuna kampuni inasimama na kuamua kuwashika mkono wapenda mpira wa kikapu nchini.Benki ya CRDB imeamua...
CHONDE, CHONDE, RANGI ISIWE KISINGIZIO CHA KUJENGA CHUKI, UADUI KATIKA VIWANJA VYA SOKA…
Na Saleh AllyUMEWAHI kusikia mashabiki wa Manchester United, Manchester City, Real Madrid, Barcelona, Juventus wamepigana kwa ajili ya rangi? Najua utanijibu hapana.Hapa nazungumzia mashabiki...
YANGA: MECHI YETU NA SIMBA HATA SHABIKI ANAWEZA KUFUNDISHA KIKOSI
HASSAN Bumbuli, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa kikosi chao kipo tayari wakati wowote kucheza na Simba hata bila ya uwepo wa Kocha Mkuu...
MWENDO WA NAMUNGO FC 20202/21
KIKOSI cha Namungo FC kinachonolewa a Kocha Mkuu Hitimana Thiery 2020/21 mwendo wao upo namna hii:-Namungo 1-0 Coastal Union.Namungo 0-1 Polisi TanzaniaTanzania Prisons 1-0...
MEDDIE KAGERE NI NOMA KWA KUCHEKA NA NYAVU
MSHAMBULIAJI wa Simba raia wa Rwanda, Meddie Kagere, ameweka rekodi ya kucheza michezo mitatu ya Ligi Kuu Bara huku akipachika mabao manne msimu huu...
AZAM FC YAANZA KUIVUTIA KASI MWADUI FC
VINARA wa Ligi Kuu Bara, Azam FC tayari mapumziko yao ya siku mbili waliyopewa wamemaliza na wameshaanza maandalizi kwa ajili ya mechi zao za...