SPURS HAWAAMINI WANACHOKIONA

0
 JOSE Mourinho, Kocha Mkuu wa Tottenham Hotspur amesema kuwa waliadhibiwa jana mbele ya West Ham United kwa kuamini kwamba wamemaliza kazi jambo lililowaponza wagawane...

KIKOSI CHA AZAM FC KILICHOPO MBEYA KWA AJILI YA MCHEZO WA LIGI DHIDI YA...

0
 Kikosi cha Azam FC kilichopo Mbeya kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ihefu FC, kesho Oktoba 20, Uwanja wa Sokoine 1.Beko2.David3.Wadada4.Abdul5.Bruce6.Agrey7.Mudathir8.Djodi9.Chirwa10.Tigere11.Domayo12.Sebo13.Niyonzima14.Nado15.Daniel16.Akono17.Lyanga18.Yakubu19.Sure20.Prince

MIPANGO YA YANGA NI NOMA, WAPIGA TIZI LA MAANA

0
 KAZI ya kuusaka ubingwa imeanza Yanga, hii ni baada ya kocha mpya wa kikosi hicho, Cedric Kaze kuanza kazi rasmi akiwa hataki utani hata...

SIMBA YAIFUATA TANZANIA PRISONS KWA MTINDO HUU

0
 KIKOSI cha Simba leo Oktoba 19 kimeanza safari kuelekea Mbeya ambapo kitakaa kwa muda wa siku mbili kabla ya kuelekea Rukwa kwa ajili ya...

KOCHA MTIBWA AIBUKIA IHEFU

0
Zuber Katwila sasa ni Kocha Mkuu wa Ihefu baada ya kubwaga manyanga Mtibwa Sugar akichukua mikoba ya Maka Mwalwisi aliyefutwa kazi Oktoba 6.

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATATU

0
 MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la Championi Jumatatu 

KABLA YA YANGA NA SIMBA, MECHI ZAO ZA MOTO HIZI HAPA

0
NOVEMBA 7, Uwanja wa Mkapa ile mechi ambayo iliota mbawa Oktoba 18  sasa inatarajiwa kupigwa kwa watani hawa wa jadi kuweza kukutana ndani ya...

AZAM FC YATAKA KUSHINDA MECHI ZOTE

0
 UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa hesabu kubwa kwa sasa ni kushinda mechi zote zilizobaki ndani ya Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2020/21...

MEDDIE KAGERE HATIHATI KUIKOSA YANGA NOVEMBA 7

0
 MTUPIAJI namba moja ndani ya Bongo kwa misimu miwili mfululizo akiwa amefunga jumla ya mabao 49 ambapo alifunga mabao 23 msimu wa 2018/19 na...

KUMBE KIUNGO MPYA WA YANGA ALIWAGOMEA MWANZO

0
 KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Mrundi, Said Ntibazonkiza, amesema timu hiyo ilianza kumfuatilia miezi miwili hadi mitatu iliyopita kabla ya kufikia makubaliano ya kusaini mkataba...