HIKI HAPA KIKOSI BORA KWA MWEZI SEPTEMBA NDANI YA VPL

0
MZUNGUKO  wa tano kwa sasa ndani ya Ligi Kuu Bara ambao umeanza Oktoba 2 umekamilika Oktoba tano na timu zote zimecheza jumla ya mechi...

AZAM FC YATAKA KUSEPA NA KOMBE MOJA KATI YA MAWILI

0
ZAKARIA Thabit, Ofisa Habari wa Azam FC amesema kuwa malengo makubwa yaliyopo kwenye timu hiyo ni kuweza kubeba moja ya taji katika mashindano makubwa...

KOCHA YANGA:HARUNA NIYONZIMA HANA NIDHAMU

0
 MUDA mfupi kabla ya kusitishiwa mkataba wake ndani ya Yanga, Oktoba 3, aliyekuwa Kocha Mkuu wa Yanga, Zlatko Krmpotic alisema kuwa sababu kubwa iliyomfanya...

NAKIPA WATATU STARS WAMPASUA KICHWA KOCHA, REKODI ZAO BALAA

0
OKTOBA 2, Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Etienne Ndayiragije alitangaza  kikosi ambacho kitaingia kambini Oktoba 5 kujiandaa na mchezo...

KOCHA SIMBA: WACHEZAJI WANGU WANACHEZEWA RAFU MBAYA

0
KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Sven Vandenbroeck amesema kuwa wachezaji wake wamekuwa wakichezewa faulo mbaya ndani ya uwanja jambo ambalo linampa hofu.Kwa sasa...

KOCHA STARS ATAJA SABABU YA KUTOWAITA MABEKI WA YANGA

0
 KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Etienne Ndayiragije ameeleza sababu za kuacha kuwaita mabeki wa pembeni wa Klabu ya Yanga...

KAZE KUPEWA MIKOBA YA KOCHA WA YANGA

0
 IMEELEZWA kuwa Cedric Kaze ndiye Kocha Mkuu wa Yanga ambaye atarithi mikoba ya Zlatico Krmpotic ambaye alifutwa kazi rasmi Oktoba 3.Kwa sasa timu ya...

POCHETTINO ATAJWA KUIBUKIA MANCHESTER UNITED

0
BAADA ya Klabu ya Manchester United kupokekea kichapo cha mabao 6-1 mbele ya Tottenham kwenye mchezo wa Ligi Kuu England inaelezwa kuwa Mauricio Pochettino...

ARSENAL YAKAMILISHA DILI LA THOMAS PARTEY

0
 ARSENAL inayonolewa na Kocha Mkuu, Mikel Arteta imekamilisha dili la nyota wa Atletico Madrid, kiungo Thomas Partey raia wa Ghana.Washika bunduki hao ambao msimu...

MBWANA SAMATTA AWASILI LEO

0
 MBWANA Samatta amewasili leo kwa ajili ya kujiunga na kambi ya timu ya Taifa ya Tanzania inayojiandaa na mchezo wa kirafiki uliopo kwenye kalenda...