MUANGOLA WA YANGA KUPEWA MKWANJA WA MAANA NA MABOSI

0
 MABOSI wa Kampuni ya GSM ambao ni wadhamini wa Yanga wamefunguka kuwa watawamwagia fedha wachezaji wa kikosi hicho akiwemo Muangola Carlos Carlinhos, kwa ajili...

WAAMUZI HAKUNA HAJA YA KUPEPESA MACHO, WACHEZAJI KAZI MOJA KUPAMBANA

0
 KIVUMBI kinazidi kuwaka kwa sasa ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo kwa msimu huu mpya wa 2020/21 unaoyesha kwamba sio wa kitoto.Ni Septemba...

YANGA YAIFUATA KAGERA SUGAR NA MATUMAINI YA KUTOSHA

0
 KIKOSI cha Yanga, leo Septemba 17 kimekwea pipa kuelekea Bukoba kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar kikiwa...

BIASHARA UNITED KUKUTANA NA MUZIKI WA MUGALU, BWALYA KWA MKAPA

0
 KOCHA Mkuu wa Simba, Sven Vandenbroeck anatarajia kufanya mabadiliko makubwa ya wachezaji wake kuelekea kwenye mchezo wa wikiendi ijayo dhidi ya Biashara United kwenye...

SUALA LA VIWANJA KUWA BORA LIZINGATIWE ILI KULETA USHINDANI

0
 LIGI Kuu Tanzania Bara kwa sasa imeshaanza kutimua vumbi ambapo Septemba 14 ulichezwa mchezo mmoja kati ya Namungo FC na Polisi Tanzania wa kukamilisha...

KOCHA YANGA AWAVAA WACHEZAJI WAKE, KISA MABAO

0
 KOCHA Mkuu wa Yanga, Zlatko Krmpotic amewajia juu wachezaji wake kwa kusema kuwa haridhishwi na kiwango cha mabao ambayo timu yake inafunga.Yanga mpaka sasa...

BOSI SIMBA AWAPA WATANI ZAKE MECHI 10

0
 MMOJA wa Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba, Zacharia Hans Poppe, kama ameimpa mechi 10 tu timu ya Yanga ambayo inatamba na kiungo...

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA ALHAMISI

0
 MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la SPOTI XTRA Alhamisi 

YANGA YAJA NA MIFUMO MITATU YA KAZI

0
 KOCHA Mkuu wa Yanga, Mserbia, Zlatko Krmpotic, amepata dawa ya timu jeuri baada ya kuongeza mifumo miwili ya uchezaji ili kuhakikisha anapata ushindi katika...

NYOTA ALIYEKUWA AKIWINDWA NA MANCHESTER UNITED AJIFUNGA MIAKA MITANO VILLA

0
 KIUNGO fundi wa Aston Villa ambaye ni nahodha wa Mtanzania, Mbwana Samatta, Jack Grealish amesaini kandarasi mpya ya miaka mitano kuendelea kuitumikia klabu hiyo. Kiungo...