GWAMBINA FC HALI TETE NDANI YA DAKIKA 360
KLABU ya Gwambina FC inayonolewa na Kocha Mkuu, Fulgence Novatus imetumia dakika 360 ndani ya uwanja bila kufunga bao huku ikiruhusu kufungwa jumla ya...
FUNGIAFUNGIA YA VIWANJA INAFIKIRISHA, MUHIMU KUWEKEZA NGUVU KWENYE MAANDALIZI
MZUNGUKO wa nne wa Ligi Kuu Bara umekamika kwa michezo tisa kupigwa kwenye viwanja mbalimbali hapa nchini ambapo, wapo ambao wameendelea kuvuna pointi tatu...
WACHEZAJI WAKATI HUU NI MUHIMU KUONGEZA JUHUDI ILI KUJIWEKA SOKONI
LIGI Kuu Bara imekuwa na changamoto kubwa hasa kwa upande wa waamuzi pamoja na wachezaji wenyewe kushindana ndani ya uwanja huku suala la kufungia...
SIMBA KUIFUATA JKT TANZANIA, WAKIMALIZANA NAO KUKUTANA NA YANGA
SVEN Vandenbroeck, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa wachezaji wake wanazidi kuimarika kila siku hivyo anaamini kwamba atapata pointi tatu kwenye mechi zake zinazofuata.Kwa...
YANGA YAZIPIGIA HESABU POINTI TATU ZA COASTAL UNION
KOCHA Msaidizi wa Yanga, Juma Mwambusi amesema kuwa ana imani kwamba wachezaji wake watakuwa kwenye ubora kwa kadri ambavyo wanaendelea kutimiza majukumu yao ndani...
AZAM FC WALITAKA KOMBE LA SIMBA MAPEMA
AZAM FC imesema kuwa malengo makubwa kwa msimu huu ni kushinda kila mechi ili kupata pointi tatu muhimu zitakazowapa nafasi ya kutwaa taji la...
KIGOGO SIMBA AIPA UBINGWA YANGA
ALIYEWAHI kuwa Mwenyekiti wa Klabu ya Simba, Ismail Aden Rage amefunguka kuwa, katu wasitokee watu wa kuicheka Yanga kutokana na ushindi wa bao moja...
RUVU SHOOTING: KUHAMIA UHURU KUMETUONGEZEA GHARAMA, MASHABIKI HAWAJI
TIMU ya Ruvu Shooting yenye maskani yake Pwani, imesema kuwa kufungiwa kwa Uwanja wa Mabatini na Bodi ya Ligi Tanzania, (TPLB) ili ufanyiwe maboresho...
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA ALHAMISI
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la SPOTI XTRA Alhamisi
YANGA YAJIPIGIA BAO 2-0 KMKM AZAM COMPLEX
KIKOSI cha Yanga leo Septemba 30 kimeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya timu ya KMKM kwenye mchezo wa kirafiki uliochezwa Uwanja wa...