YANGA IPO KAMILI GADO KUIVAA TANZANIA PRISONS
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa maandalizi yao kuelekea mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Tanzania Prisons yapo vizuri. Yanga itakutana na Prisons Uwanja...
SIMBA YAZITAKA POINTI TATU ZA IHEFU FC
UONGOZI wa Simba umesema kuwa upo tayari kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ihefu utakaopigwa Septemba 6, Uwanja wa Sokoine....
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI IJUMAA
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la Championi Ijumaa
MUONEKANO WA UKURASA WA NYUMA GAZETI LA CHAMPIONI IJUMAA
MUONEKANO wa Ukurasa wa nyuma Gazeti la Championi Ijumaa
MAJEMBE MAPYA YAWAPA JEURI AZAM FC,WATAMBA KUBEBA UBINGWA
UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi mipango yao ya kugombania ubingwa msimu ujao mara baada ya kufanya usajili ambao unawapa jeuri kuelekea msimu mpya. Azam...
VAN de BEEK AMALIZANA NA MANCHESTER UNITED, AKABIDHIWA JEZI NAMBA 34
KLABU ya Manchester United ya England imekamilisha usajili wa mchezaji Donny van de Beek (23) kwa ada ya Paundi Milioni 40 kutokea Klabu ya...
HAYA HAPA MAAMUZI RASMI ATAKAKOKIPIGA MORRISON MSIMU WA 2020/21
BERNARD Morrison, winga mpya wa Klabu ya Simba rasmi atakipiga kwenye klabu hiyo baada ya Shirikisho la Soka Tanzania kumtambulisha kwamba ni mchezaji wa...
MUDA WA KUINJOY UMEISHA, YANGA SASA NI WAKATI MAANDALIZI….
NA SALEH ALLYUKIANGALIA takribani wiki mbili, Yanga wamekuwa wakipambana kuhakikisha wanafanya kitu kizuri katika tamasha lao.Jana ndio ilikuwa ni hatma ya Wiki ya Mwananchi,...
KAGERE AFUNGUKIA ISHU YAKE KUDAIWA KUMPIGA SVEN
MEDDIE Kagere, mshambuliaji namba moja wa Klabu ya Simba amesema amesikitishwa na taarifa zilizosambaa mtandaoni kuwa amempiga kocha wa timu hiyo, Sven Vandenbroeck. Septemba Mosi...
MANCHESTER UNITED WASITISHA MAZUNGUMZO YA KUIPATA SAINI YA NAHODHA WA MBWANA
MANCHESTER United inayonolewa na Kocha Mkuu, Ole Gunnar Solskjaer imesimamisha mazungumzo ya kumpata kiungo wa Aston Villa, Jack Grealish na kumgeukia Donny van de...