KIKOSI CHA YANGA KITAKACHOANZA LEO DHIDI YA KMC

0
 KIKOSI cha Yanga kitakachoanza leo Oktoba 25 dhidi ya KMC Uwanja wa CCM Kirumba mchezo wa Ligi Kuu Bara.Tayari kikosi kimeshatia timu Uwanja wa...

AISHI MANULA WA SIMBA ANA KAZI YA KUFANYA KWA VITA YA REKODI

0
 AISHI Manula, kipa namba moja ndani ya Klabu ya Simba kwa sasa kichwa kinampasuka kila anapotazama namna makipa wenzake wanavyoandika rekodi mpya huku naye...

MISHAHARA YA MAKOCHA BONGO NOMA, AZAM, SIMBA NA YANGA WANAVUTANA SHATI

0
 VITA kubwa ni kwenye kusaka pointi tatu ndani ya uwanja na zile tatu bora ni balaa kwa sasa ambapo Azam FC ni baba lao...

IHEFU FC: TUTAREJEA KWENYE UBORA HIVI KARIBUNI

0
ZUBER Katwila, Kocha Mkuu wa Ihefu amesema kuwa vijana wake wanaimarika taratibu hivyo anaamini kwamba mechi zijazo atapata matokeo chanya.Kwa sasa Ihefu FC ipo...

YANGA YAWAITA MASHABIKI UWANJANI

0
LAMINE Moro nahodha wa Yanga amesema kuwa kikosi kipo tayari kwa ajili ya mechi zao za Ligi Kuu Bara kwa kuwa wamempata mwalimu mpya...

KLOPP KOCHA MKUU WA LIVERPOOL ALIA NA VAR

0
 JURGEN Klopp, Kocha Mkuu wa Liverpool amesema kuwa mashine ya kujiridhishia na maamuzi ndani ya uwanja maarufu kama VAR ilitoa penalti isiyo sahihi kwa...

ANAANDIKA HAJI MANARA KUHUSU UBINGWA WA SIMBA

0
 Anaandika  Haji Manara Ofisa Habari wa Simba kuhusu namna Simba itakavyoweza kutetea taji la ligi kwa msimu wa 2020/21:- Mwaka juzi tulipoteza na Mbao katika...

AZAM FC YAIPIGIA HESABU MTIBWA SUGAR

0
 UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa mchezo wao wa kesho dhidi ya Mtibwa Sugar utaamua hatma yao ya kuendelea na rekodi ambazo wameweka ndani...

COASTAL UNION: TUMEADHIBIWA KWA MAKOSA YETU WENYEWE

0
 BAADA ya kugawana pointi mojamoja na wapinzani wake Gwambina kwenye sare ya kufungana bao 1-1 Uwanja wa Mkwakwani, Tanga, Kocha Mkuu wa Coastal Union, Juma...

KAZI TATU ZA MOTO KWA YANGA KANDA YA ZIWA HIZI HAPA

0
 CEDRICK Kaze, Kocha Mkuu wa Yanga ana kazi ya kumalizana na timu tatu za kanda ya ziwa kusaka pointi tisa kutoka kwa timu ambazo...