NYOTA MPYA WA RUVU SHOOTING, DACOSTA AANZA NA MAJANGA
NYOTA mpya ndani ya kikosi cha Ruvu Shooting yenye maskani yake Pwani, Adam Dacosta ameanza na majanga baada ya kuumia kidole.Dacosta aliibukia ndani ya...
SIMBA YATAJA MUDA ITAKAYOREJEA NAFASI YA KWANZA
KOCHA Mkuu wa Simba, Sven Vandenbroeck amebainisha kuwa licha ya kwamba wamepata sare kwenye mechi yao na Mtibwa Sugar hesabu zake ni ndani ya...
BOSI WA SIMBA AFUNGUKIA MAISHA YAKE NDANI YA YANGA
SENZO Mbatha, mshauri mkuu ndani ya Klabu ya Yanga kuelekea kwenye mfumo wa mabadiliko amesema kuwa anafurahia maisha yake ya sasa ndani ya timu...
BALE AINGIA ANGA ZA MANCHESTER UNITED
MANCHESTER United ipo kwenye mpango wa kuinasa saini ya nyota wa Real Madrid, Gareth Bale ili ajiunge na kikosi hicho kinachonolewa na Ole Gunnar...
AZAM FC :TUNATAKA KUENDELEZA KUPATA USHINDI
BAADA ya ushindi katika michezo miwili mfululizo waliopata timu ya Azam FC, uongozi wa timu hiyo umetamba kuendeleza ushindi katika michezo inayofuata ya ligi...
MBEYA CITY BADO HAIJAPOTEZA MATUMAINI VPL
AMRI Said, Kocha Mkuu wa Mbeya City amesema kuwa wachezaji wake hawajapoteza matumaini ya kupata ushindi kwenye mechi zake zinazofuata licha ya kupoteza mechi...
HII HAPA RATIBA KAMILI YA MZUNGUKO WA TATU VPL
KWA sasa Ligi Kuu Tanzania Bara mzunguko wa pili umeshameguka msimu wa 2020/21.Mchezo wa mwisho ulichezwa jana ambapo ilikuwa ni kati ya Namungo FC ...
NYOTA AZAM FC APATA SHAVU ISRAEL
NYOTA wa Azam FC, Novatus Dismas mwenye tuzo ya mchezaji bora chipukizi kwa msimu wa 2019/20 alipokuwa akikipiga ndani ya Bashara United kwa mkopo...
YANGA HAO KUIFUATA KAGERA SUGAR
KIKOSI cha Yanga, kesho kinatarajiwa kuanza safari kuifuata Kagera Sugar kwa ajili ya kuvaana nao kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu Bara kwa msimu...
KOCHA SIMBA AWABADILISHIA MBINU MORRISON NA ONYANGO
SVEN Vandenbroeck, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa atawabadilishia mbinu wachezaji wake wote wa kikosi cha kwanza ikiwa ni pamoja na Bernard Morrison na...