DAVID MOYES, MENEJA WA WEST HAM UNITED AKUTWA NA CORONA

0
KOCHA Mkuu wa West Ham, David Moyes amekutwa na Virusi vya Corona pamoja na wachezaji wake wawili ambao ni Issa Diop na Josh Cullen.West...

SIMBA YAPIGA HESABU ZA KUSHINDA MECHI ZOTE DAR

0
 NYOTA namba moja ndani ya Klabu ya Simba Clatous Chama amesema kuwa wachezaji wapo tayari kwa ajili ya ushindani ndani ya ligi na wanahitaji...

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATANO

0
 MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la Championi Jumatano 

KISINDA:TUNA JUKUMU KUBWA KUTATIMIZA MALENGO

0
 TUISILA Kisinda winga mpya ndani ya Klabu ya Yanga amesema kuwa wanajukumu kubwa la kupambana kwa ajili ya timu hiyo ili kuweza kufikia malengo...

NYOTA WA YANGA AIBUKIA ZESCO UNITED

0
 DAVID Molinga mshambuliaji wa zamani wa Yanga amejiunga na Klabu ya Zesco United ya Zambia

NAMUNGO FC:BADO TUNA NAFASI YA KUFANYA VIZURI

0
 BIGIRIMAMA Blaise mshambuliaji namba moja ndani ya Klabu ya Namungo FC amesema kuwa wanaamini watarejea kwenye ubora wao licha ya kupoteza mechi mbiili mfululizo. Namungo...

MCHEZO WA KIRAFIKI: SIMBA 0-0 AFRICAN LYON

0
 Simba 0-0 African Lyon Uwanja l: Azam Complex Dakika ya 26 Afrika Lyon wanapata fauloDakika ya 23 Mkude anachezewa faulo Dakika ya 22 Mugalu anapaisha ndani ya...

KIKOSI CHA SIMBA KITAKACHOANZA LEO DHIDI YA AFRIKA LYON MCHEZO WA KIRAFIKI

0
 KIKOSI cha Simba kitakachoanza leo dhidi ya Afrika Lyon Uwanja wa Azam Complex mchezo wa kirafiki

SIMBA INA HESABU ZA KUCHEZA MECHI YA KIRAFIKI NA WAARABU

0
 Ofisa Mtendaji Mkuu, Barbara Gonzalez  akiongozana na Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi, Mulamu Nghambi wametembelea makao makuu ya klabu ya Al Ahly yaliyopo jijini...

MTIBWA SUGAR WAIPA SOMO KIMTINDO SIMBA KUHUSU WACHEZAJI WA GHARAMA

0
OFISA Habari wa Mtibwa Sugar, Thobias Kifaru amefichua kuwa kabla ya matokeo ya sare na Simba, wapinzani wao walijuwa watawafunga zaidi ya mabao 10...