NAMUNGO HESABU ZAO NDANI YA LIGI KUU BARA

0
 HITIMANA Thiery, Kocha Mkuu wa Namungo FC amesema kuwa kwa sasa hesabu zake ni Kwenye mchezo wake wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Coastal...

KIKOSI CHA SIMBA KUIFUATA IHEFU LEO MBEYA

0
 KIKOSI cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Sven Vandenbroeck raia wa Ubelgiji, leo Septemba Mosi kinatarajiwa kuanza safari kuelekea Mbeya kuifuata Ihefu FC. Simba...

KOCHA MPYA YANGA,:WACHEZAJI WAPO VIZURI, WANAHITAJI MUDA

0
 ZLATKO Krmpotic,  Kocha Mkuu wa Klabu ya Yanga amesema kuwa amewaona wachezaji wake wakionyesha kiwango bora kwa kila mmoja ila wanahitaji muda wa kuzoeana...

MTIBWA SUGAR YAFUNGA KAZI NA MAJEMBE NANE

0
 UONGOZI wa Mtibwa Sugar umefunga pazia la usajili kwa kusajili majembe mapya ya kazi nane kwa ajili ya msimu mpya wa 2020/21. Dirisha la...

BEKI BORA MSIMU WA 2019/20 APEWA TUZO NYINGINE TENA

0
 UONGOZI wa Azam FC umempa tuzo nyingine tena beki bora wa msimu wa mwaka 2019/20 ndani ya Ligi Kuu Bara Nicolas Wadada.  Tuzo hiyo...

AFC YAFUNGWA MABAO 6-0 NA SIMBA, LUIS MIQUSSONE ATUPIA MATATU

0
 KIKOSI cha Simba, leo Agosti 31 kimeibuka na ushindi wa mabao 6-0 mbele ya AFC kwenye mchezo wa kirafiki uliochezwa Uwanja wa Sheikh Amri...

UNITED YATAKA SAINI YA BEKI WA RB LEIPZING KUMUONGEZEA NGUVU MAGUIRE

0
IMEELEZWA kuwa Manchester United ipo kwenye mpango wa kuinasa saini ya beki wa Klabu ya RB Leipzig, Dayot Upamecano kwa ajili ya kuongeza nguvu...

MSIMU MPYA TUNAHITAJI SOKA LA USHINDANI, MALALAMIKO YAWEKWE KANDO

0
 LEO Jumatatu saa 5:59 usiku dirisha la usajili litafungwa rasmi kwa hapa nchini ikihitimisha kipindi cha mwezi mzima cha timu kupewa kibali cha kusajili...

JEMBE LA KAZI YANGA KUTOKA BURKINA FASO LATIA TIMU BONGO RASMI

0
 YACOUBA Sogne mshambuliaji wa Yanga amewasili  Tanzania leo Agosti 31 akitokea nchini Burkina Faso. Sogne anaungana na wachezaji wenzake kambini jumla kwa ajili ya...

MANE ANUKIA BARCELONA

0
 SADIO Mane nyota wa Klabu ya Liverpool anatajwa kuingia anga za Klabu ya Barcelona ili kuziba pengo la mshambuliaji wao namba moja Lionel Messi...