BREAKING:HASSAN KESSY ASAINI MTIBWA SUGAR
Hassan Khamis Ramadhan Kessy beki wa kulia amesajiliwa na Mtibwa Sugar akitokea kwa Mabingwa wa Ligi Kuu ya Zambia msimu 2019/2020 Nkana Red Devils.
LIVE: NGAO YA JAMII, SIMBA 0-0 NAMUNGO
Ngao ya Jamii Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Simba v Namungo FC Kipindi cha kwanzaSimba 0-0
SIMBA V NAMUNGO MOTO KUWAKA NGAO YA JAMII
JOTO la mtanange wa Ngao ya Jamii kati ya Simba na Namungo, limepanda ambapo leo Jumapili kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha,...
KIKOSI CHA SIMBA KITAKACHOANZA LEO DHIDI YA NAMUNGO FC NGAO YA JAMII
KIKOSI cha Simba kinachoongozwa na Kocha Mkuu, Sven Vandenbroeck kitakachoanza leo Agosti 30, dhidi ya Namungo FC mchezo wa Ngao ya Jamii, Uwanja wa...
MANCHESTER CITY KUTOA WACHEZAJI WATATU KUMPATA MESSI
MAN City imeripotiwa kuwa ipo tayari kuipa Barcelona pauni milioni 89.5 pamoja na wachezaji watatu; Bernardo Silva, Gabriel Jesus na Eric Garcia ili kumpata...
JEMBE LA KAZI YANGA LAANZA SAFARI KUJA BONGO
MCHEZAJI mpya wa Yanga ambaye ni mshambuliaji kutoka Burkina Faso, anatarajiwa kutua kesho Agosti 31 ameanza leo safari ili kuibuka ndani ya ardhi ya...
SIMBA:TUPO TAYARI KWA AJILI YA NGAO YA JAMII
SVEN Vandenbroeck, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa wachezaji wake wote wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa leo wa Ngao ya Jamii dhidi...
COASTAL UNION KUTAMBULISHA MAJEMBE 19
UONGOZI wa Coastal Union umesema kuwa hauna presha na suala la usajili kwa sasa kwa kuwa umejipanga vema kwa kuwasajili wachezaji wapya 19 ikiwa...
LIVE: KINACHOENDELA UWANJA WA MKAPA MUDA HUU WIKI YA WANANCHI
SIKU YA MWANANCHI: Amsha amsha ya mashabiki wa Yanga wakiendelea kuingilia uwanjani kushuhudia sherehe za Kilele cha Wiki ya Mwananchi ambapo mashabiki wamejitokeza kwa...
CORONA YAWAVURUGA WADAU,POGBA,TAMMY CHINI YA UANGALIZI
KIUNGO Paul Pogba mwenye miaka 27 amewashtua wadau wengi wa soka baada ya kubainika kuwa na Virusi vya Corona huku Ligi Kuu ya England...