MESSI AINGIA ANGA ZA JUVENTUS

0
IMERIPOTIWA kuwa Klabu ya Juventus ipo kwenye hesabu za kuinasa saini ya nyota wa Klabu ya Barcelona, Lionel Messi ili aungane na timu hiyo...

KOCHA YANGA ATUA DAR KUMALIZANA NA MABOSI WAKE

0
 ZLATKO Krmpotic Kocha Mkuu wa Yanga amewasili leo Agosti 29 Dar es Salaam kwa ajili ya kuanza kukinoa kikosi hicho ambacho kilianza mazoezi Agosti...

YANGA WASEMA WALIMTAKA CHAMA, SIMBA YAPANIA KUWAKERA,NDANI YA CHAMPIONI JUMAMOSI

0
 MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la Championi Jumamosi 

UTATA WA MKATABA WA MORRISON FIFA YAINGILIA KATI

0
 SHIRIKISHO la Soka la Kimataifa (Fifa) ni kama limemaliza utata wa usajili wa mchezaji Bernard Morrison aliyetua Simba huku akiwa na mvutano na klabu...

NYOTA HAWA WALIZIPA TABU SIMBA NA YANGA, SASA WANAPETA KWENYE TIMU MPYA

0
 KILA kitu kinatokea kwa sababu ndivyo ambavyo imekuwa kwa wachezaji wengi wa Bongo kupata madili ya kusaini kwenye timu mpya pale ambapo wanaonyesha uwezo wao...

MASHINE HII YA KIMATAIFA YA KAZI KUFUNGA USAJILI YANGA

0
 YANGA ipo katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa mshambuliaji wa Petro Atletico De Luanda ya Angola raia wa Rwanda, Jacques Tuyisenge ambaye...

VIDEO: HARMONIZE ALIVYOTUA NA CHOPA UWANJA WA MKAPA KUFANYA SOUND CHECK

0
 Hivi Ndivyo Helicopter Iliyombeba Msanii @harmonize_tz Ilivyoshuka Katika Uwanja Wa Benjamin Mkapa Na Kukagua Jukwaa Kwa Ajili Ya Tamasha La Yanga Day Litakalofanyika Siku...

MUANGOLA WA YANGA AONJA JOTO YA JIWE BONGO

0
 STAA mpya wa Yanga, Muangola, Carlos Sténio Fernandes Guimarães do Carmo ‘Carlinhos’, jana Alhamisi alionja joto ya jiwe baada ya kukimbizwa kwa takribani saa...

KMC YAMALIZANA NA DONDOLA WA COASTAL UNION

0
 KMC FC imekamilisha usajili wa golikipa kutoka Coastal Union, Masoud Abdallah (Dondola). Kwa mkataba wa mwaka mmoja. Nyota huyo alikuwa kwenye ubora ambapo alijikusanyia...

KOCHA MRUNDI AANZA KAZI RASMI YANGA

0
 ALIYEWAHI kuwa kipa wa Azam FC, Vladimir Niyonkuru raia wa Burundi aliwasili rasmi nchini Tanzania, juzi mchana tayari kwa kuanza kazi ya kuwanoa makipa...