WAZIRI ZUNGU MGENI RASMI SWAHILI CUP
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Mussa Azzan Zungu anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye uzinduzi wa michuano ya Swahili...
WAJUMBE WAMPOTEZA DROGBA NAFASI YA URAIS FIF
KAMATI ya uchaguzi ya shirikisho la soka Ivory Coast (FIF) imemuengua mchezaji wa zamani wa Chelsea na timu ya taifa ya Ivory Coast Didier...
MTIBWA SUGAR WAFANYA MABORESHO BENCHI LA UFUNDI
UONGOZI wa Mtibwa Sugar leo Agosti 28 umetangaza benchi lake la ufundi kwa ajili ya msimu wa 2020/2021 unaotarajiwa kuanza Septemba 6.Zubery Rashid Katwila ataendelea...
SIMBA WAICHOKONOA YANGA KISA ISHU YA MWANANCHI, DIAMOND ATAJWA
UONGOZI wa Simba umesema kuwa watani zao wa jadi Yanga hawataweza kuvunja rekodi waliyoiweka wao kwenye kilele cha Simba day kuanzia perfomance mpaka mkwanja...
YANGA WAFUNGUKIA HATMA YA JUMA ABDUL NA YONDANI
INJINIA Hersi Said, Mkurugenzi wa Masuala ya Uwekezaji ndani ya Kampuni ya GSM ambao ni wadhamini wa Klabu ya Yanga amesema kuwa kwa sasa...
POGBA AKUTWA NA VIRUSI VYA CORONA
PAUL Pogba, kiungo wa Klabu ya Manchester United imeripotiwa kuwa amekutwa na Virusi vya Corona muda mfupi kabla ya msimu mpya wa Ligi Kuu...
KOCHAWA TIMU YA TAIFA AWASHANGAA WANAOMBEZA ONYANGO
KOCHA wa zamani wa Kenya, Harambe Stars, Adel Amrouche raia wa Ubelgiji amesema Onyango ni kati ya mabeki bora aliowahi kuwanoa na wanaombeza wataona...
BREAKING: KOCHA MPYA YANGA ZLATICO, KUTUA KESHO
KLABU ya Yanga imemtambulisha Zlatico Krmpotick kuwa Kocha Mkuu wa Yanga akibeba mikoba ya Luc Eymael aliyekuwa akikinoa kikosi hicho.Kocha huyo anatarajiwa kutua...
WINGA SIMBA AIBUKIA POLISI TANZANIA
RASHID Juma, winga wa Simba amejiunga na Klabu ya Polisi Tanzania kwa mkopo kwa wa mwaka mmoja. Nyota huyo msimu wa 2020/21 atakuwa ndani...
YANGA YAWAITA MASHABIKI UWANJA WA MKAPA
UONGOZI wa Klabu ya Yanga umewaomba mashabiki wa timu hiyo kujitokeza kwa wingi Oktoba 30, Uwanja wa Mkapa kwenye kikele cha wiki ya Mwanachi....