MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA JUMAPILI

0
 MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la SPOTI XTRA Jumapili 

HILI HAPA JESHI KAMILI LA YANGA MSIMU WA 2020/21

0
 Makipa1.Metacha Mnata2.Farouk Shikhalo3.Ramadhan KabwiliMabeki 4.Paul Godfrey5.Kibwana Shomari ingizo jipya kutoka Mtibwa Sugar.6.Yasin Mustafa ingizo jipya kutoka Polisi Tanzania.7.Adeyun Saleh8.Lamine Moro9.Bakari Mwamnyeto ingizo jipya kutoka Coastal...

MUANGOLA WA YANGA NI SHANGWE, SIMBA V NAMUNGO VITA KESHO,NDANI YA SPOTI XTRA JUMAPILI

0
 Kesho usipange kukosa nakala yako jero tu Gazeti la SPOTI XTRA 

PICHA YA PAMOJA WACHEZAJI WA YANGA WAKIWA WAMETUPIA SUTI

0
 MUONEKANO wa wachezaji wa Yanga wakiwa wametupia suti inaelezwa kuwa kesho Kwenye kilele cha wiki ya Mwananchi watatupia namna hii.

ARSENAL MABINGWA WA NGAO YA JAMII ULAYA,WAINYOOSHA LIVERPOOL

0
 Arsenal leo Agosti 29 imetwaa taji la Ngao ya Jamii kwa kushinda kwa mikwaju 5-4 mbele ya Liverpool baada ya dakika 90 kukamilika kwa...

KILICHOWAFANYA YANGA WAKAMPA DILI MSERBIA HIKI HAPA

0
ZLATKO Krmpotić kwa sasa ndiye Kocha Mkuu wa Yanga ametua leo mapema akitokea nchini Serbia kuchukua nafasi ya Mbelgiji, Luc Eymael aliyetimuliwa Julai 27. Yanga...

MINZIRO KOCHA MPYA GEITA FC

0
 FELIX Minziro maarufu kama Baba Isaya, leo Agosti 29 ametambulishwa kuwa Kocha Mkuu wa Klabu ya Geita Gold. Amesaini dili la mwaka mmoja kwa...

JKT TANZANIA IPO KAMILI GADO KWA MSIMU WA 2020/21

0
 UONGOZI wa JKT Tanzania umesema kuwa upo tayari kwa ajili ya msimu wa 2020/21 kwa kuwa kikosi kipo kamili kwa ajili ya kupambana kufikia...

SIMBA:TUNA BWALYA,MUGARU,MORISSON, TUTAWAKERA KWELI YANGA

0
 UONGOZI wa Simba umesema kuwa utawakera wapinzani wao wote ndani ya msimu wa 2020/21 kwa kuwa ina kikosi imara na chenye wachezaji bora katika...

TANZIA:MKE WA MO BANKA ATANGULIA MBELE YA HAKI

0
 Mohamed Banka, kiungo wa zamani wa Klabu ya Yanga na Simba amepatwa na msiba kwa kuondokewa na mkewe, Bi Mariam Abdul Banchu.Umauti umemfikia Mariam...