AZAM FC KUKIWASHA LEO DHIDI YA KMC
AZAM FC inayonolewa na Arstica Cioaba raia wa Romania, leo Agosti 27 inatarajia kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya KMC.Mchezo huo utapigwa majira ya...
HARMONIZE AMJIBU BOSI WAKE WA ZAMANI MONDI KUPITIA YANGA
STAA wa Bongo Fleva, Rajab Abdul Kahali ‘Harmonize’ amemlipa aliyekuwa bosi wake Nasibu Abdul ‘Diamond’ baada ya Jumatatu kuachia wimbo maalum wa klabu ya...
KICHUYA ATAJA SABABU YA ‘KUBUMA’ SIMBA
KIUNGO mshambuliaji wa Namungo FC, Shiza Kichuya anasema bado ana matumaini ya kurejea kwenye kiwango cha juu kama ilivyokuwa zamani huku akisema kuwa ukosefu...
PACHA HIZI NDANI YA MSIMU MPYA WA 2020/21 ZINAPEWA NAFASI YA KUBAMBA
LIGI Kuu Bara inatarajiwa kuanza kutimua vumbi Septemba 6, huku msimu huu tukizishuhudia jumla ya timu 18 zikipambana kuwania ubingwa ambao unashikiliwa na Simba...
TUSIYENGE AFUNGA USAJILI YANGA,SIMBA YAFUNGA MABAO 14,NDANI YA SPOTI XTRA ALHAMISI
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Alhamis
MUANGOLA WA YANGA NA MORRISON WA SIMBA WALIPA MILIONI 36 TFF
KLABU kongwe za Simba na Yanga, zimelazimika kulilipa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kiasi cha shilingi milioni 36 kwa pamoja ikiwa ni ada ya...
ISHU YA JUMA ABDUL KUREJEA YANGA IPO HIVI
JUMA Abdul, beki wa zamani wa Klabu ya Yanga amesema kwa sasa anafikiria zaidi kucheza soka la kulipwa nje ya nchi na kuna dili...
KOCHA MPYA YANGA AOMBA WIKI TATU KUTIA TIMU BONGO, MAAMUZI YAPO HIVI
UONGOZI wa Klabu ya Yanga, leo Agosti 26 umesema kuwa unamtafuta kocha mwingine atakayekuwa mbadala wa Cedric Kaze raia wa Burundi ambaye alikuwa kwenye...
MESSI ATAJWA KUIBUKIA INTER MILAN
KLABU ya Inter Milan ya Italia inatajwa kuwa miongoni mwa timu kutoka nchini humo ambazo zinapigania saini ya mshambuliaji wa FC Barcelona, Lionel Messi. Rais...
POLISI TANZANIA YAMALIZANA NA NYOTA WATATU KWA MPIGO,MMOJA ALIKUWA ANAKIPIGA KMC
UONGOZI wa Polisi Tanzania, leo Agosti 26 umemalizana na nyota watatu ambao watakuwa ndani ya kikosi hicho kwa msimu wa 2020/21.Nyota hao ni pamoja...