BREAKING: AZAM FC YASHUSHA JEMBE JINGINE LA KAZI
Aliyekuwa beki wa kushoto wa Mbao, Emmanuel Charles, amefuzu vipimo vya afya, tayari kujiunga na Azam FC kwa ajili ya msimu ujao.Habari zinaeleza kuwa...
BREAKING:FARID MUSSA ASAINI YANGA RASMI
BREAKING: FARID Mussa, winga aliyekuwa anakipga ndani ya CD Tennerife ya Hispania leo ametangazwa rasmi kuwa mali ya Yanga kwa dili la miaka miwili.
RAGE:SUALA LA MORRISON JEPESI ILA MAMBO YANAKUZWA
MWENYEKITI wa zamani wa Simba ambaye aliwahi kuwa Makamu wa Rais wa zamani wa Shirikisho la Soka Tanzania,(TFF) Ismael Rage amesema kuwa sakata la...
MGORE KIPA NAMBA MOJA WA BIASHARA UNITED ATAJA KILICHO NYUMA YA MAFANIKIO YAKE
KIPA namba moja ndani ya kikosi cha Biashara United, Daniel Mgore amesema kuwa kikubwa kinachombeba ndani ya uwanja ni kujiamini na kufanya kazi kwa...
ULINZI MAKAO MAKUU YA SOKA TANZANIA ACHA KABISA
ULINZI mkubwa ulitawala jana kwenye Ofisi za Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), wakati kiungo mshambuliaji Mghana, Bernard Morrison akisubiria hukumu yake.Hiyo ikiwa ni siku...
MTAMBO MPYA WA MABAO NDANI YA YANGA WATIMIZA AHADI YA MAMAYE
MSHAMBULIAJI mpya wa Yanga, Wazir Junior, amesema anajisikia faraja kupata nafasi ya kucheza Yanga kwani aliweka ahadi kwa mama yake mzazi kabla hajafariki kuwa...
KAMATI INAYOSHUGHULIKIA SAKATA LA MORRISON YAAHIDI KUTENDA HAKI
MWENYEKITI wa Kamati ya Katiba, Sheria na Hadhi za Wachezaji ya TFF, Elias Mwanjala amesema watatenda haki katika suala la Bernard Morrison dhidi ya...
BERNARD MORRISON ATUMA UJUMBE HUU
KIUNGO wa Yanga Bernard Morrison ametuma ujumbe kwa mashabiki wake akiwataka washushe presha kwa sasa.Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Morrison ametupia video akionekana akichezeza...
MTIBWA SUGAR YADAI KIBWANA ALIYESAJILIWA YANGA BADO NI MALI YAO
UONGOZI wa Mtibwa Sugar umesema kuwa beki mpya aliyetambulishwa na Yanga Agosti 9 bado ana mkataba ndani ya timu hiyo yenye maskani yake Morogoro.Kibwana...
BEKI MPYA YANGA: NITAWASHANGAZA WENGI
BAKARI Mwamnyeto, beki mpya ndani ya kikosi cha Yanga, amesema kuwa atawashangaza wengi ndani ya kikosi hicho kwa kuwa wengi wanafikiri kwamba atashindwa kupata...