MCONGO MPYA NA YANGA MAMBO YAWA MAGUMU GHAFLA….MABOSI ZAKE WAMKAZIA INJINIA…
Dili la Yanga na beki Chadrack Boka wa FC Lupopo limeingia ugumu baada ya pande zote mbili kukaa mezani kwa saa saba bila kufikia...
MZEE MPILI:- NIKO TAYARI FIGO YANGU IUZWE PESA APEWE AZIZI KI ABAKI YANGA….
Shabiki kindakindaki wa Klabu ya Yanga, Haji Omary maarufu kama Mzee Mpili amesema kuwa yuko radhi kutoa figo yake iuzwe ili achangie pesa kumbakisha...
CHEZA NA USHINDE EXPANSE TOURNAMENT NDANI YA MERIDIANBET KASINO. …
Umetembelea Meridianbet Kasino ya Mtandaoni leo? Nakushauri tu ufanye kuingia kwani utafurahi mwenyewe na moyo wako, Promosheni ya Shindano la Expanse bado linaendelea huenda...
MSIMU HUU USIISHE HIVI HIVI AISEE…LEO HII PAMBANA UPATE PESA NDANI YA MERIDIANBET💰💰
Timiza ndoto zako taratibu taratibu na meridianbet, kama jana umekosa basi leo hii una nafasi. Ingia www.meridianbet.co.tz na usuke mkeka wako wa maana kwa...
MCHAMBUZI:- AZIZI KI HAWEZI TENA KUBAKI BONGO….YANGA HAWANA PESA YA KUMPA KWA SASA…
Wakati Kiungo wa Yanga Raia wa Burkina Faso Stephen Aziz KI akizidi kuonesha makali katka Klabu ya Yanga msimu huu.
Hivi sasa mchezaji huyo anaongoza...
AMSHA AMSHA ZA KOMBE LA YANGA LEO HUU HAPA🔥🔥SKUDU KAMA KABEBA KOMBE LA DUNIA...
DAR ES SALAAM ni kijani na njano hakuna rangi ambayo imetawala katika jijj hili zaidi ya hizo mbili, hao ni Yanga ambapo leo waliweza...
KUHUSU KUONDOKA AU KUBAKI YANGA…AZIZI KI AVUNJA UKIMYA….MSIMAMO WAKE MPYA HUU HAPA…
KIUNGO wa Yanga, Stephane Aziz Ki amefungika juu ya hatma yake ya msimu ujao na kuweka wazi kuwa bado hajaongeza mkataba na kuwapa kipaumbele...
ZA NDAAANIII KABISA….AYOUB NA SIMBA KWISHA KAZI…..PALIPOBAKIA PADOGOOOO 🤌🤌…
MAMBO mazuri kati ya klabu ya Simba na kipa namba moja wa timu hiyo, Ayoub Lakred, baada ya kukubalia kusalia ndani ya kikosi hicho...
RASMIII….COASTAL UNION WAIPELEKA CAF TANGA….MTIBWA SUGAR CHALIIII 😵💫😵💫….
WAGOSI wa Kaya, Coastal Union wamejihakikisha nafasi ya kushiriki michuano ya kimataifa msimu ujao baada ya leo kukata tiketi ya CAF kwa kutoka suluhu...
BAADA YA KUKAA NA YANGA MSIMU MMOJA TU…GAMONDI ‘ATEMA NYONGO’ KUHUSU SOKA LA BONGO..
Wakati Shirikisho la Soka Nchini (TFF), limetangaza rasmi kupeleka Fainali ya Kombe la FA kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar, Kocha Mkuu wa...