SHINDA NA FRUIT O RAMA KWENYE KASINO YA MERIDIANBET….KUWA MILIONEA LEO….
Sub: “Fruit O Rama ni mchezo wa sloti unaotolewa na mtengenezaji wa michezo Synot. Katika mchezo huu wa kasino ya mtandaoni, utakutana na aina...
TETESI:- SIMBA NA TCHEKEI BADO BADO KIDOGOOO…..IHEFU WAMEKAZA KIMTINDO…
Baada ya kumkosa katika dirisha dogo la usajili lililofungwa Januari 2024, mwaka huu, Klabu ya Simba imeanza tena mchakato wa kusaka huduma ya winga...
MENEJA WA MANULA:-DIARRA NI MZURI KULIKO AISHI …
Mchambuzi wa masuala ya soka nchini kutoka EFM, Jemedari Said amesema kuwa kwa kipindi cha miaka 10 (2014-2024) hajawahi kutokea kipa bora kama kipa...
BAADA YA KUIPA YANGA UBINGWA WA 30……GAMONDI KAUMA MENO WEEH….KISHA AKASEMA HILI…
Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi amesema walistahili kutwaa taji la Ligi Kuu, huku akisisitiza kwamba kituo kinachofuata ni Kombe la Shirikisho la Azam...
ZA NDAAANII KABISA…YANGA HUENDA WAKAZUIWA KUSHIRIKI CHAMPIONS MSIMU UJAO…ISHU IKO HIVI…
Kwa mujibu wa mwandishi Micky Jr ni kuwa timu zote ambazo zimekumbana na kadhia ya kufungiwa usajili kutokana na madai mbalimbali zipo katika hatari...
RASMI…MO DEWJI KURUDI MZIGONI SIMBA….KIGOGO ALIYETAKA ‘KUMTAPELI’ KIBU DENIS ATAJWA…
SIMBA imekubali yaishe baada ya watani zao wa jadi Yanga kubeba ubingwa wa ligi kwa mara ya tatu mfululizo, jambo lililowaumiza Wekundu wa Msimbazi...
SIMBA NA AZAM WAKO SAKO KWA BAKO NAFASI YA PILI LIGI KUU….FREDY AZIDI KUTIKISA
SIMBA imeendelea kukabana koo na Azam FC ikifukuzia nafasi ya pili katika msimamo wa Ligi Kuu Bara baada ya kushinda mechi yake ya mwisho...
HIVI NDIVYO MZIZE ANAVYOWAKIMBIZA KIMYA KIMYA MASTAA WAZITO KWENYE FA….
Wakati wikiendi hii zikitarajia kuchezwa mechi za nusu fainali ya kombe la shirikisho (CRDB Federation Cup) mshambuliaji Kinda kinda wa klabu Yanga Clement Mzize...
HUSSEIN KAZI NA SIMBA NDIO BASI TENA….KUPISHANA NA LAMECK LAWI MLANGONI…
Mlinzi wa kati wa klabu Simba Hussein Kazi inatajwa kuwa ni sehemu ya kukamilisha dili la Usajili la Mlinzi wa kati wa klabu ya...
TETESI:- MANULA HUYOOO AZAM FC….MABOSI SIMBA WAKUBALI KIROHO SAFI…
Azam FC imedhamiria kwa dhati kumrudisha aliyekuwa kipa namba moja wa kikosi hicho, Aishi Manula baada tu ya msimu huu kuisha.
Taarifa kutoka ndani ya...