YANGA WADAI WANAISUBIRI SIMBA FA,MSIYEMPENDA KAJA,KESHO NDANI YA CHAMPIONI JUMATATU
KESHO ndani ya Gazeti la Championi Jumatatu, usipange kukosa nakala yako
KABUNDA AFUNGA BAO LA KIDEO WAKATI YANGA IKILALA KWA MABAO 3-0
HASSAN Kabunda, winga wa KMC leo alimaliza msumari wake wa mwisho kwa kumtungua mlinda mlango wa Yanga bao la kideo kwa mpira wa adhabu...
KIPINDI CHA PILI :YANGA0-3 KMC
Mechi ya kirafiki kati ya Yanga na KMC Uwanja wa Uhuru kwa sasa ni kipindi cha pili.KMC inaongoza kwa mabao 3-0 ambayo yalifungwa na...
HILI NDILO BALAA LA NICOLAS WADADA WA AZAM FC
NICOLAS Wadada, beki wa Azam FC ni mhimili ndani ya kikosi hicho kutokana na uwezo wake anaonyesha ndani ya uwanja kwa kuzuia, kufunga na...
HIKI HAPA KIKOSI KITAKACHOANZA MCHEZO KATI YA YANGA NA KMC UWANJA WA UHURU
KIKOSI cha Yanga kitakachoanza leo dhidi ya KMC mchezo wa kirafiki Uwanja wa Uhuru
FILAMU YA KOCHA WA YANGA EYMAEL KUTUA BONGO BALAA, MKWANJA MREFU WAKATIKA
IMEELEZWA kuwa gharama ambazo amezitumia Kocha Mkuu wa Yanga kwa ajili ya tiketi mpaka sasa licha ya kutotua nchini ni zaidi ya milioni 40...
BREAKING: CHAMA ATIA TIMU BONGO
KIUNGO wa Simba, Clatous Chota Chama amewasili nchini leo akitokea nchini Zambia alikokuwa kwa ajili ya mapumziko ya lazima yaliyotokana na janga la Virusi...
YANGA INA KAZI NZITO LEO UHURU MBELE YA KMC, MASHABIKI WAKUMBUSHWA KUHUSU BARAKOA
LEO majira ya saa 10:00 jioni, Uwanja wa Uhuru kutakuwa na pambano la kukata na shoka kati ya Yanga na KMC ikiwa ni mchezo...
HESABU ZA AZAM FC ZIPO NAMNA HII
ARISTICA Cioaba, Kocha Mkuu wa Azam FC amesema kuwa hesabu zake kubwa kwa sasa ni kwenye mchezo wake wa Ligi Kuu Bara dhidi ya...
LIVERPOOL YAINGIA VITA NA MANCHESTER UNITED KUPATA SAINI YA ADAMA
IMEELEZWA kuwa Liverpool imeingia vitani na Klabu ya Manchester United kuitafuta saini ya winga mwili jumba, Adama Traore anayekipiga ndani ya Wolves.Vinara hao wa...