CHIRWA AKUBALI YAISHE AZAM FC..!!

0
MSHAMBULIAJI wa Azam FC, Obrey Chirwa amesema ameamua kuiheshimu klabu yake kwa kutorejea kwao Zambia vinginevyo angeonekana mtovu wa nidhamu.Chirwa raia wa Zambia mwenye...

BEKI KISIKI NDANI YA INTER MILAN AIPIGIA HESABU MANCHESTER UNITED

0
BEKI kisiki wa Inter Milan Diègo Godin ameingia kwenye anga za kuwindwa na Spurs pamoja na Manchester United.Godin hajawa na maisha mazuri ndani ya...

MSHAMBULIAJI MWILI JUMBA, KIPENZI CHA MASHABIKI ATOA AHADI NZITO KWA MASHABIKI

0
YKIPE Gnamien mshambuliaji mwili jumba anayekipiga ndani ya Yanga amesema kuwa kwa sasa anaendelea kuchukua tahadhari dhidi ya Virusi vya Corona huku akijifua ili...

HAWA JAMAA NI WAZEE WA MIPENALTI, MBABE WAO HUYU HAPA

0
KWENYE Ligi Kuu Bara kazi kubwa kwa washambuliaji ni kutupia kila wapato nafasi ila kuna wataalamu wa kupiga mipira iliyokufa yaani penalti.Hawa jamaa mbali...

KOCHA AS VITA ABARIKI MOZIZI KUTUA YANGA…AFUNGUKA MAAJABU YAKE..!!

0
PALE DR Congo kuna kocha mmoja mkongwe ambaye amewahi kufanya kazi Yanga na amesikia klabu yake hiyo inamsaka ‘top straika’ mmoja Mpiana Mozizi akawasisitiza...

KIPA REAL MADRID ATOA SHUKRANI ZAKE KWA WAKONGWE

0
Kipa wa Real Madrid, Thibaut Courtois hivi karibuni katika siku ya kimataifa ya makipa aliwashukuru makipa wakongwe Casillas na Van der Sar ambao nidiyo...

VIGOGO YANGA WAMGEUKA EYMAEL KUHUSU YONDANI KUTUPIWA VIRAGO

0
YANGA wameperuzi ripoti ya mapendekezo ya Kocha wao Luc Eymael wee lakini walipofika kwenye jina la Kelvin Yondani wakaganda kidogo. Wakakubaliana kutokubaliana.Ripoti ya siri...

KUHUSU YANGA….CHAMA AMTAJA NIYONZIMA..!!

0
HIVI karibuni mashabiki wa Simba walikuwa na presha baada ya kuzagaa kwa taarifa kuwa Yanga wako katika mchakato wa kumnasa kiungo wao, Clatous Chama...

MAN UNITED YAJIPA MATUMAINI KWA SANCHO

0
London, England. Manchester United imejipa matumaini ya kushinda vita ya kuwania saini ya Jadon Sancho.Sancho ameteka vyombo vya habari Ulaya baada ya kuzivutia  idadi...

TAHADHARI NI MUHIMU, ISHU YA USAJILI ISICHUKULIWE KWA PUPA

0
JANGA la Virusi vya Corona bado linaendelea kuitikisa dunia tena kwa sasa ni kwa spidi  kubwa huku  mambo ya mbeleni yakibaki kuwa gizani sababu haifahamiki hatma...