YANGA YA GSM YAZIDI KUNOGA…KUINGIA MKATABA NA KLABU KIGOGO YA HISPANIA

0
KAMPUNI ya GSM ipo katika hatua za mwisho za kuingia makubaliano na moja ya klabu za Hispania iliyopo kwenye viwango vya nne bora katika...

SAKATA LA CHAMA KUTUA JANGWANI..MWAKALEBELA ATAKIWA KUJIUZULU YANGA

0
MCHEKESHAJI mkongwe Bongo, Steven Mangele (Steve Nyerere), amemtaka Makamu Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga, Frederick Mwakalebela kuachia ngazi katika nafasi hiyo ili kulinda heshima...

KUNA STRAIKA WA BURUNDI ANAITAKA YANGA, KESHO NDANI YA CHAMPIONI JUMATATU

0
KESHO ndani ya Gazeti la CHAMPIONI Jumatatu usipange kukosa nakala yako

CORONA YASABABISHA KUYUMBA KIDOGO KWA YANGA

0
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa kwa kipindi hiki kigumu cha Virusi vya Corona uendeshaji umekuwa na changamoto kubwa kutokana na mambo kuyumba kutokana na...

MLINDA MLANGO WA SIMBA AMEMISI MAMBO MAKUBWA MATATU NDANI YA LIGI KUU BARA

0
MLINDA mlango namba moja wa Klabu ya Simba, Aishi Manula amesema kuwa amemisi mambo makubwa matatu na kutoa ombi lake kwa Mungu kunusuru hali...

NAHODHA WA YANGA AKUBALI KIUNGO HUYU MBADALA WAKE ATUE YANGA MAZIMA

0
TETESI mbalimbali ambazo zimeendelea kuripotiwa kila kukicha ndani ya Yanga, ni juu ya kocha wao, Luc Eymael kuhitaji kiungo mbadala wa Papy Kabamba Tshishimbi,...

HUYU NDIYE MCHEZAJI WA KWANZA KUFUTA MACHOZI YA KIPA WA LIVERPOOL

0
LICHA ya kuwa na sifa ya kuwa na spidi ndani ya Uwanja huku mabosi wake Real Madrid wakiwa hawana mpango naye mkubwa ila ni...

KOCHA STARS ATAJA SABABU YA MAKIPA KUWA NA VIWANGO VYA KUPWA NA KUJAA

0
ETTIENE Ndayiragije, Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania amesema kuwa kinachowakwamisha makipa wengi kushindwa kuwa kwenye ubora wao ni kutokana na makocha...

HUYU NI YULE BEKI TEGEMEO WA GOR MAHIA SASA INAELEZWA SIMBA WANAISAKA SAINI YAKE

0
JOASH Abong'o Onyango beki mwenye muonekano wa kipekee ndani ya uwanja inaelezwa kuwa ameingia kwenye hesabu za mabosi wa Simba ambao wanahitaji kuboresha kikosi...

YANGA KUCHOMOA MITAMBO MIWILI YA KAZI KUTOKA NAMUNGO

0
RELIANTS Lusajo, mtambo wa mabao ndani ya Yanga iwapo dili lake la kutua ndani ya kikosi cha Yanga litajibu, basi atashuka na nyota pacha...