WAKATI HUU WA MAPAMBANO DHIDI YA CORONA WACHEZAJI MSISAHAU KULINDA VIPAJI VYENU PIA

0
LIGI kuu Bara na Ligi nyingine kubwakubwa zile duniani zote kwa sasa zimesimama kupisha maambukizi zaidi ya Virusi vya Corona ambavyo vinaitikisa dunia kwa...

KUHUSU KUTUA SIMBA..MENEJA WA MWANYETO AMEFUNGUKA HAYA..!!

0
WAKALA Kassa  Mussa ambaye anamuwakilisha beki kisiki anayekipiga kwenye timu ya Coastal Union, Bakari Nondo Mwamnyeto amekanusha uvumi unaoendelea kuhusu mchezaji wake kuhusishwa na...

KMC YAWATAKA MASHABIKI KUCHUKUA TAHADHARI YA VIRUSI VYA CORONA

0
UONGOZI wa KMC umesema kuwa ni muhimu kwa kila mmoja kuchukua tahadhari ya Virusi vya Corona ili kuwa salama.Akizungumza na Saleh Jembe, Ofisa Habari...

KOCHA SIMBA ATAJA SABABU YA KUTOELEWANA NA BENCHI LAKE LA UFUNDI

0
SVEN Vandernbroeck, Kocha Mkuu wa Simba amesema haikuwa rahisi kufanya kazi na benchi la ufundi kutokana na kutozeana.Sven alipoanza kazi ililipotiwa kuwa hakuwa na...

YANGA YAPIGA HESABU ZA KIMATAIFA KUBORESHA KIKOSI CHAO

0
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa unahitaji kusuka kikosi upya kitakacholeta ushindani kitaifa na kimataifa kwa kushusha nyota wengi wakali na wenye ujuzi.Akizungumza na Saleh...

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTIXTRA JUMAPILI

0
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la SPOTIXTRA Jumapili

KUNA UMUHIMU WA KUWAPA THAMANI WACHEZAJI WETU ILI KUWA BORA, MWAMNYETO NI WAKATI WAKE

0
KILA mtu anajukumu la kuongeza thamani ya maisha yake, ukiwa ni mtu wa kwenda kulala kwenye gesti za elfu saba, kila mtu ataona thamani...

SENZO AFUNGUKA ATAKAVYOWARUDISHA BONGO KAGERE, CHAMA NA SHIBOUB

0
WAKATI mipaka ya nchi zao ikifungwa, Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Simba, Senzo Mazingisa amepanga kuandaa utaratibu wa tofauti watakaoutumia ili kuhakikisha nyota wao...

UNAAMBIWA GSM BABA LAOO..WARUDI YANGA KWA SPIDI 360..!!

0
WADHAMINI wa Yanga, Kampuni ya GSM wamerejea kivingine klabuni hapo na safari hii wamekuja na staili mpya ya usajili kwa wachezaji wa kimataifa ambayo...

MANARA – UWEZO WETU NI KUSAJILI MCHEZAJI WA MILIONI 230 TU..!!

0
MSEMAJI Mkuu wa Simba, Haji Manara amebainisha kwamba ni ngumu kwa klabu hiyo na nyingine za Tanzania kutwaa ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Afrika...