NYOTA POLISI TANZANIA SAINI YAKE YAGEUKA DILI
BARAKA Majogoro kiungo wa Polisi Tanzania saini yake imegeuka lulu kutokana na klabu nyingi kuelezwa kuitaka saini yake.Polisi Tanzania ipo chini ya Kocha Mkuu,...
MO RASHID: MUHIMU KUCHUKUA TAHADHARI YA VIRUSI VYA CORONA
MOHAMED Rashid, nyota wa JKT Tanzania anayekipiga kwa mkopo akitokea Simba amesema kuwa kuna umuhimu wa kila mmoja kuchukua tahadhari ya kujilinda dhidi ya...
MBAO FC YAGOMA KUSHUKA DARAJA
WAZIR Jr, mshambuliaji wa Mbao FC amesema kuwa anaimani kuwa timu yao haitashuka daraja kutokana na mipango ambayo itapangwa baada ya ligi kurejea.Kwa sasa...
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA BETIKA, BURE KABISA
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la Betika, lipo mtaani jipatie nakala yako BURE kabisa
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATANO
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la Championi Jumatano, lipo mtaani nafasi ya kushinda ndinga ni yako
FRAGA WA SIMBA HUMUAMBII KITU KUHUSU KUKU, LICHA YA KUPIGWA STOP BADO WAMO
GERSON Fraga, kiungo wa Simba amesema kuwa wamepigwa stop kula kuku ila akipata muda huwa anafanya hivyo kwa kuwa ni vitu anavyovipenda.Fraga, raia wa...
MTUPIAJI WA NAMUNGO AFUNGUKIA USAJILI WAKE YANGA
RELIANTS Lusajo, nahodha wa Namungo amesema kuwa anaamini akitua ndani ya Yanga ataendelea kutupia kama kawaida kutokana na uwezo alionao.Lusajo amekuwa akihusishwa kutua Yanga...
NAHODHA WA LIPULI APATA SHAVU MALAYSIA,
PAUL Nonga, nahodha wa Lipuli amesema kuwa amepata dili la kujiunga na moja ya timu inayoshiriki Ligi Kuu nchini Malaysia mambo yakiwa sawa atasepa...
GALLAS: NITASEPA BONGO WAKATI UKIFIKA
WILLIAM Lucian, ‘Gallas’ beki wa kulia wa Polisi Tanzania amesema kuwa anaamini kuwa anaweza kuondoka Bongo iwapo atapata nafasi ya kucheza nje ya nchi.Polisi...
UONGOZI SIMBA WAWAPIGA STOP WACHEZAJI KULA VYAKULA HIVI
UONGOZI wa Simba umesema kuwa kwa wakati huu wamewazuia wachezaji wa Simba kula vyakula vyenye mafuta na vinywaji vyenye sukari nyingi ili kulinda afya...