MFUMANIA NYAVU BONGO ATAJA KINACHOMBEBA

0
MEDDIE Kagere mshambuliaji wa Simba amesema kuwa sababu kubwa inayomfnya afunge akiwa ndani ya uwanja ni umakini wa kutumia nafasi anazozipata pamoja na ushirikiano...

USAJILI WA MWAMNYETO SIMBA ITAPENDEZA ZAIDI

0
WAKATI Simba ikitajwa kumalizana na beki wa kati wa Coastal Union, Bakari Mwamnyeto, kiungo wa zamani wa Polisi Mara, Musa Keita amesema Wekundu hao...

KLABU TUNISIA YAMTUMIA MWALIKO MOLINGA ..YEYE AMEJIBU HAYA!!

0
HUKU ikielezwa kwamba Kocha Luc Eymael amewaambia viongozi hatamuongezea mkataba, David Ndama Molinga ‘Falcao’ yeye ana ishu yake ambayo akiwaambia viongozi itakuwa sapraizi kubwa...

NGASSA AJICHIMBIA MWANZA KWA SASA

0
MRISHO Ngassa, kiungo mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa kwa sasa amejichimbia Mwanza huku akichukua tahadhari ya kujilinda na Virusi vya Corona.Ligi Kuu Tanzania Bara...

CHESEA, NAPOLI ZAITAKA SAIN YA CAVAN

0
EDINSON Cavani anamatumaini ya kucheza La Liga katika msimu ujao wa ligi, hii baada ya  dirisha lililopita la Januari kukwama. Atletico ilikuwa mbioni kukamilisha usajili...

KOCHA STARS: WACHEZAJI NI MUHIMU KUFANYA MAZOEZI KULINDA VIPAJI

0
KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania,Taifa Stars, Etienne Ndayiragije amesema kuwa wachezaji wanapaswa wasikae bila kufanya mazoezi wakati huu wakiwa hawachezi.Ligi nyingi...

KOCHA SIMBA: NGUMU KUWAFUATILIA WACHEZAJI KWA SASA

0
SELEMAN Matola, Kocha Msaidizi wa Simba amesema kuwa ni ngumu kuwafuatilia wachezaji kwa wakati huu kama wanafanya mazoezi au la.Kwa sasa Ligi Kuu Tanzania...

NYOTA WAKAZI WATATU KUTIMKA NDANI YA SIMBA

0
UPO uwezekano mkubwa wa mastaa wakubwa Simba kutimka kwenye klabu hiyo kwenye msimu ujao wa Ligi Kuu Bara baada ya kupata ofa nono za...

MANCHESTER CITY YAMLILIA MAMA WA PEP GURDIOLA ALIYEFARIKI KWA CORONA

0
UONGOZI wa Manchester City ambao ni mabingwa watetezi wa Kombe la Ligi Kuu England umethibitisha kutokea kifo cha mama mzazi wa Kocha Mkuu Pep...

ISHU YA OKWI KURUDI NDANI YA SIMBA IPO HIVI

0
INAELEZWA kuwa uongozi wa Simba upo kwenye mazungumzo na nyota wao wa zamani, Emannuel Okwi ili arejee tena kukipiga kwa mabingwa hao watetezi wa...