AUBAMEYANG INAONYESHA HANA MPANGO WA KUBAKI ARSENAL

0
PIERRE-Emerick Aubameyang, nahodha wa kikosi cha Arsenal kilicho chini ya Kocha MKuu, Mikel Arteta inaonyesha kuwa hana nia ya kubaki ndani ya kikosi hicho...

GALAS ATAJA KITAKACHOWAUMIZA WACHEZAJI LIGI KUU BARA ITAKAPOREJEA

0
WILLIAM Luccian,'Gallas' amesema kuwa kitakachowaumiza wachezaji wengi ni kuanza kutafuta upya nguvu ya kurejea kwenye ubora wao kwenye ligi mpaka pale watakapocheza mechi tatu...

MABOSI ORLANDO PIRATES HAWANA HIYANA NA SHONGA KUTUA SIMBA, MASHARTI YAO YAPO HIVI

0
SIMBA wana nafasi kubwa ya kumpata mshambuliaji huyo anayekipiga ndani ya Klabu ya Orlando Pirates Justin Shonga iwapo wataweka pesa ya kutosha kutokana na...

TSHISHIMBI BABA LAO, AWAPOTEZA VIUNGO WOTE WA SIMBA IKIWA NI CHAMA, SHIBOUB

0
KIUNGO Papy Kabamba Tshishimbi ni jembe kweli na ukiwa naye kikosini kwako, basi umelamba dume.Kwa takribani wiki nzima, kulikuwa na tetesi kwamba kiungo huyo...

MORRISON ATAJA SABABU YA KUTUA NDANI YA YANGA

0
BERNARD Morrison, Kiungo Mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa kabla ya kutua Bongo alipata ofa nyingi Afrika Kusini pamoja na Ghana ambapo ndipo maskani yake...

MZAHA KWENYE CORONA NA PROGRAMU ZA WACHEZAJI USIPEWE NAFASI

0
WAKATI mwingine unajaribu kutafuta majibu ya tatizo lilipo unaishiwa nguvu na kushindwa kujua nini ufanye kutokana na aina ya tatizo ambalo lipo mbele hii...

WACHEKA NA NYAVU NDANI YA LIGI KUU ENGLAND HAWA HAPA

0
LIGI Kuu England ikiwa imesimama kwa muda kupisha maambukizi zaidi ya Virusi vya Corona na inatarajiwa kurejea April 30 itategemea kutengamaa kwa hali.Hawa hapa...

MASAU BWIRE:MPAPASO BILA MASHABIKI HAUNOGI

0
MASAU Bwire, Ofisa Habari wa Ruvu Shooting amesema kutokana na tamko la Bodi ya Ligi Kuu Bara kuwa endapo Ligi Kuu Bara itarejea timu...

NDEMLA, SURE BOY HAO YANGA NI NDANI YA GAZETI LA CHAMPIONI JUMATATU

0
MUONEKANO wa UKURASA wa mbele GAZETI la CHAMPIONI Jumatatu

MEDDIE KAGERE KUMBE KWA PENALTI HAJAMBO,CHEKI MABAO ALIYOFUNGA NA ALIYOKOSA

0
MEDDIE Kagere mshambuliaji wa Simba ndani ya kikosi cha Simba amepewa jukumu la kupiga penalti.Kwenye jumla ya mabao 19 ambayo Kagere amefunga kwenye Ligi...