WACHEZAJI WA BARCELONA KUKUTANA NA PANGA LA KUKATWA MKWANJA WAO

0
UONGOZI wa Barcelona unampango wa kupitisha panga la mishahara kwa wachezaji wake ili kuongeza nguvu kwenye mapambano dhidi ya Virusi vya Corona.Wachezaji wa Klabu...

KOCHA HUYU ALIYEMNYOOSHA MBELGIJI WA YANGA ANAWINDWA ATUE JANGWANI

0
MECKY Maxime Kocha Mkuu wa Kagera Sugar amesema kuwa alipewa mkataba wa kujiunga na Yanga, lakini kutokana na kutoļ¬kia baadhi ya makubaliano, alishindwa kuusaini...

BEKI HUYU CHIPUKIZI AINGIA ANGA ZA SIMBA

0
BAKARI Nondo, beki chipukizi anayekipiga ndani ya Coastal Union na pia ana nafasi ndani ya kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania, Tafa Starsinaelezwa...

DYBALA:NIPO FITI NIMEPONA CORONA

0
PAULO Dybala, mshambuliaji wa Juventus amewaambia mashabiki wake kuwa afya yake na ya mpenzi wake, Oriana Sabatini ziko safi ikiwa ni siku nne tangu...

KUWENI WAPOLE, UVIVU NA UDUNI WA UBUNIFU NI KASORO ZENU.

0
Na Saleh AllyNIMESKIA tafrani iliyotokea Yanga hadi kusababisha baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Utendaji ya Yanga kujiuzulu.Nilielezwa kuwa kuna baadhi ya wajumbe walihoji...

CORONA KWA NCHI ZA AFRIKA

0
WATU 3,778 wamethibitishwa kuwa na ugonjwa wa Covid-19 hadi kufikia Machi 28, 2020 katika nchi 46 za Afrika huku vifo 109 vikiripotiwa barani Afrika...

MSHAMBULIAJI TEGEMEA WA MBAO FC AINGIA CHIMBO KUONGEZA MAKALI

0
MSHAMBULIAJI wa Mbao FC, Wazir Jr amesema kuwa kwa sasa anaendelea kuchukua tahadhari ya Virusi vya Corona huku akifanya mazoezi ya kulinda kipaji chake...

MWENDO WA SAMATTA AKILINI MWA BUSUNGU

0
Na: Saleh AllyUKITULIA utaona kuwa suala la vipaji wakati mwingine sisi wenyewe Watanzania huwa tunaviua vya kwetu.Huyu mwana yaani Busungu kamaliza kipaji chake, tokea...

TUUNGANE KWA PAMOJA KUPAMBANA NA CORONA, WACHEZAJI MKIBWETEKA MNAJIDANGANYA WENYEWE

0
NI wazi inafahamika kwa sasa ligi mbalimbali duniani zimesimama ikiwa ni sehemu ya kujikinga zaidi na maambukizi ya Virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa...

MUUAJI WA SIMBA ASIMULIA ALICHOKIPATA BAADA YA KUWATUNGUA JUMLAJUMLA

0
BERNARD Morrison, kiungo mshambuliaji wa Yanga amefunguka kuwa kuifungia timu yake bao mbele ya Simba kumempa heshima na furaha kwa mashabiki wa Yanga.Raia huyo...