NIYONZIMA ACHEKELEA MAISHA YAKE NDANI YA YANGA

0
HARUNA Niyonzima, kiungo mshambuliaji ndani ya Yanga amesema kuwa kwa sasa anafurahia maisha ndani ya klabu hiyo kutokana na sapoti anayopata kutoka kwa wachezaji...

SIMBA YATOA TAMKO KUHUSU ISHU YA TSHISHIMBI

0
BAADA ya nahodha wa Yanga, Papy Tshishimbi kusema kuwa hajaongeza kandarasi ndani ya klabu yake hiyo uongozi wa Simba umesema kuwa unatamani siku moja...

TSHISHIMBI AICHOKONOA YANGA KUHUSU MKTABA WAKE

0
PAPY Tshishimbi, nahodha wa Yanga amesema kuwa kwa sasa hajaongeza mkataba ndani ya klabu yake hiyo hivyo yupo huru kuzungumza na timu yoyote itakayokuwa...

BARCELONA SASA KUMUUZA NYOTA WAO GRIEZMANN ILI KUPATA MKWANJA

0
BARCELONA ipo tayari kumuingiza sokoni mshambuliaji Antoine Griezmann lengo likiwa ni kupata kipato kwa ajili ya usajili ujao.Virusi vya Corona vinavyosababisha Ugonjwa wa Covid...

NGULI WA UNITED ATAJA KINACHOMBEBA BRUNO FERNANDES

0
BRUNO Fernandes, nyota wa Manchester United amekuwa msaada mkubwa ndani ya Klabu hiyo kwa sasa.Nguli wa zamani wa Klabu ya Manchester United Bryan Robson...

GADIEL MICHAEL: KUNA USHINDANI MKUBWA WA NAMBA SIMBA

0
GADIEL Michael, beki wa kushoto wa Simba amesema kuwa kuna ushindani mkubwa ndani ya kikosi cha Simba jambo linalomfanya afanye mazoezi kwa juhudi.Kwa sasa...

SALAMBA AJIFUNGIA NDANI AKIPIGA MATIZI KULINDA KIPAJI CHAKE

0
ADAM Salamba nyota wa Tanzania anayeperusha bendera ya Taifa nchini Kuwait amesema kuwa kutokana na maambukizi ya Virusi vya Corona kwa sasa anapiga matizi...
Habari za Michezo leo

HIVI NDIVYO MSUVA WA EL JADIDA ALIVYOFANYA KUCHUKUA TAHADHARI YA CORONA

0
SIMON Msuva, nyota wa Tanzania anayekipiga kwenye Klabu ya El Jadida ya Morroco amesema kuwa kutokana na kuchukua tahadhari ya kusambaa kwa Virusi vya...

MWENYEKITI NJOREFA: NJOMBE MJI HALI NI MBAYA

0
YONO Kevela, Mwenyekiti wa Chama cha Soka mkoani Njombe (NJOREFA),amesema kuwa Klabu ya Njombe Mji ipo kwenye hali mbaya kiuchumi kwa sasa hivyo suala...

ELIAS MAGULI: TUNACHUKUA TAHADHARI YA CORONA ILI KUWA SALAMA

0
ELIAS Maguli, mshambuliaji wa Klabu ya FC Platinum ya Zimbabwe amesema kuwa kwa sasa wanachukua tahadhari kubwa ya kujikinga na maambukizi ya Virusi vya...