SABABU ZA MBAO FC KUWEKWA SOKONI HII HAPA

0
SOLLY Njashi Mwenyekiti wa Mbao FC ya Mwanza amesema kuwa wameamua kuiuza timu hiyo kwa mtu yeyote ambaye atakuwa tayari kuinunua aendelee kuiendesha.Njashi amesema...

NYOTA WA STARS ANASHINDA NDANI NCHINI MISRI KISA KORONA

0
HIMID Mao, nyota wa timu ya Taifa ya Tanzania anayekipiga soka la kulipwa nchini Misri kwenye Klabu ya ENPPI amesema kuwa kwa sasa wao...

NCHIMBI: PROGRAMU YA KOCHA MKUU ITANIRUDISHA KWENYE UBORA WANGU

0
DITRAM Nchimbi, mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa amepewa programu maalumu na Kocha Mkuu wa Yanga, Luc Eymael kwa kipindi hiki cha mapumziko.Akizungumza na Saleh...

AKILI ZA MBELGIJI WA YANGA EYMAEL ZIPO NAMNA HII

0
KOCHA Mkuu wa Yanga, Luc Eymael amesema kuwa kuna umuhimu wa kikosi chake kuwa na makali ya kushindana na timu zote Bongo ikiwa ni...

KANE APIGWA STOP KUSEPA NDANI YA SPURS

0
MKONGWE ndani ya Liverpool, John Barnes amemshauri staa wa Tottenham Hotspur, Harry Kane kubaki ndani ya timu hiyo.Kumekuwa na taarifa kwamba nyota huyo anampango...

MANCHESTER UNITED WAIPIGIA HESABU SAINI YA NYOTA GREALISH WA ASTON VILLA

0
NAHODHA wa kikosi cha Aston Villa, Jack Grealish amewekwa kwenye hesabu kali za kutua ndani ya Klabu ya Manchester United ili kuongeza nguvu kwenye...

MUUAJI WA SIMBA AMTAJA MKE WAKE KUHUSIKA KWENYE MABAO YAKE YOTE NDANI YA YANGA

0
BERNARD Morrison, kiungo mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa anatupia mabao kutokana na maombi anayofanyiwa na mke wake pamoja na mwanae.Morrisson ametua Yanga kwenye dirisha...

KAGERE AFUNGUKIA KILICHO NYUMA YA MABAO YAKE

0
MTAMBO wa kutupia ndani ya Simba, Meddie Kagere amesema kuwa chanzo kikubwa cha yeye kufunga hat trick kwenye mechi zao ni kutokana na msukumo...

NAMUNGO WABISHI KWELI, CHEKI WANAVYOKULA SAHANI MOJA NA YANGA

0
TIMU ya Namungo iliyo chini ya Kocha Mkuu, Hitimana Thiery imeshinda idadi ya mechi 14 ambazo ni sawa na ilizoshinda Yanga msimu huu wa...

MTAMBO WA MABAO NDANI YA AZAM FC AINGIA KWENYE RADA ZA YANGA

0
IMEELEZWA kuwa uongozi wa Yanga upo kwenye mpango wa kumrejesha kundini mshambuliaji wao wa zamani Obrey Chirwa anayekipiga ndani ya Azam FC.Chirwa kwa sasa...