YANGA YAWAOMBA MASHABIKI KUENDELEA KUCHUKUA TAHADHARI

0
PAPY Kambamba Tshishimbi, nahodha wa Yanga amesema kuwa ni muhimu kila mmoja kuchukua tahadhari dhidi ya Virusi vya Corona ambavyo ni janga la dunia...

PAMBA SC YAUNGANA NA MBUNGE MABULA KUPAMBANA NA CORONA KWA VITENDO

0
KLABU ya Pamba Sport Club ya Mwanza kwa kushirikiana na Stanslaus Mabula Mbunge Jimbo la Nyamagana wamekabidhi uongozi wa Soko Kuu Mwanza Mbugani, vifaa ...

MECHI 100 ZA SALAH ZINA MSOTO WA KUTOSHA BALAA

0
MOHAMED Salah, raia wa Misri, nyota wa Liverpool amecheza mechi 100 ndani ya Liverpool tangu ajiunge nayo mwaka 2017 akitokea Klabu ya Roma ametupia...

KAHATA: NINAAMINI TUTAPITA SALAMA KATIKA HILI

0
FRANCIS Kahata, kiungo mshambuliaji ndani ya Klabu ya Simba amesema kuwa imani yake ni kwamba siku moja kila kitu kitakuwa sawa kwa msaada wa...

KUNA WENYE MASLAHI MOLINGA AKIONDOKA, WATAFAIDIKA HIVI….

0
Na Saleh AllyWAKATI akisajiliwa Yanga, Kocha Mkuu wakati ule, Mwinyi Zahera alijigamba kuwa mshambulizi wake mpya, David Molinga atawaonyesha kazi. Baada ya muda, alimuweka kando...

TAYARI TALIB HILAL AMEFUNGUA NJIA, WANAMICHEZO RUDISHENI NYUMBANI VITA DHIDI YA CORONA

0
NA SALEH ALLYNILIKUWA naangalia kiungo kinda wa FC Barcelona, Moussa Wague alivyoamua kutoa misaada ya chakula na mafuta tani 12 katika eneo alilozaliwa la...

COASTAL UNION HAINA MPANGO WA KUBORESHA KIKOSI CHAO

0
JUMA Mgunda,Kocha Mkuu wa Coastal Union amesema kuwa kwa sasa hafikirii kuhusu masuala ya usajili. Mgunda ni miongoni mwa makocha wazawa ambao wanafanya vizuri kwa...

MESSI AMKOMALIA NEYMAR JR

0
LIONEL Messi, mshambuliaji namba moja ndani ya Barcelona bado anaushawishi uongozi wa klabu yake uipate saini ya Neymar Jr.Inaelezwa kuwa Messi amemchagua Neymar badala...

SIMBA YAWAOMBA WATANZANIA KUENDELEA KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA VIRUSI VYA CORONA

0
MOHAMED Hussein, 'Tshabalala' nahodha msaidizi wa Simba amesema kuwa kwa sasa anaendelea kufanya mazoezi binafsi pamoja na kuchukua tahadhari dhidi ya Virusi vya Corona.Tshabala...

BOSI HUYU AMESHIKILIA MKATABA WA PACHA HII MATATA NDANI YA YANGA INAYOTUPIWA MACHO NA...

0
IMEEELEZWA kuwa Yanga inasubiri neno kutoka kwa Kocha Mkuu, Luc Eymael ili kumalizana na mastaa walio Kwenye rada zao ambao ni Relliants Lusajo na...