TSHISHIMBI ATOA SHARTI YANGA..!!

0
KIUNGO wa Yanga, Papy Tshishimbi amesema kama kuna kitu anatamani basi ni timu yake kusajili kiungo mpya wa kushindana naye, mwenye ubora hata wa...

NDEMLA NA SIMBA KIMEELEWEKA..AWEKEWA FUNGU LA MILIONI 30 KUSALIA MSIMBAZI

0
UONGOZI wa Simba unaendelea kusuka kikosi chao kwa ajili ya msimu ujao kwa kutafuta wachezaji wa maana kutoka hapa ndani ya Tanzania na nje...

CORONA IMETUSAHAULISHA KABISA KUHUSIANA NA MAISHA YA VIJANA NA SOKA

0
NA SALEH ALLYHAKUNA ubishi kweli mambo yanamebadilika sana na yanakwenda nje ya utaratibu ambao tumekuwa tukienda nao kwa miaka yote.Kinachotokea sasa kuhusiana na maambukizi...

USIOGOPE RAPHAEL DAUD, TOKA KWENYE GIZA LA DAR ES SALAAM

0
Na Saleh AllyBOBBY Robson ndiye kocha Mwingereza mwenye heshima kubwa kuliko mwingine yeyote nje ya nchi hiyo kutokana na ubora wa kazi yake akiwa...

MTUPIAJI POLISI TANZANIA AWAOMBA WATANZANIA KUENDELEA KUCHUKUA TAHADHARI

0
SIXTUS Sabilo, nyota wa Polisi Tanzania amesema kuwa kwa sasa anaendelea kuchukua tahadhari ya kujilinda dhidi ya Virusi vya Corona akiwa zake Bunda.Nyota huyo...

INGIZO JIPYA NDANI YA YANGA LATOA AHADI HII KWA MASHABIKI

0
YIKPE Gnamien, mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa akipewa nafasi ya kuanza kikosi cha kwanza pale Ligi Kuu Bara itakaporejea atafanya mambo makubwa kwenye timu...

ERASTO NYONI AWA BALOZI, AWAOMBA WATANZANIA KUCHUKUA TAHADHARI

0
BEKI kiraka wa Simba, Erasto Nyoni amesema kuwa kwa sasa amekuwa akitumia muda mwingi nyumbani tofauti na mwanzo ambapo alikuwa bize na kibarua chake...

HIMID MAO:NILIPATA MUDA WA KUNUNUA MSOSI

0
KIUNGO mtanzania Himid Mao anayekipiga Klabu ya ENPPI ya Misri amesema kuwa alipata muda wa kununua chakula kabla ya kuzuiwa kutoka ndani.Nchini Misri, wakazi...

ADAM SALAMBA AWAOMBA WATANZANIA KUENDELEZA DUA

0
ADAM Salamba nyota wa Tanzania anayekipiga ndani ya Klabu ya Al-Jahra SC, iliyopo Barani Asia amesema kuwa kikubwa kwa sasa ni kila mmoja kuomba...

MANCHESTER UNITED, LIVERPOOL, ARSENAL ZAKUTANA KWA NYOTA HUYU

0
MIAMBA ya soka ndani ya Ligi Kuu England ikiwa ni pamoja na Liverpool, Manchester United na Arsenal imegongana kwenye kuwania saini ya nyota anayekipiga...