WANA MICHEZO WANA NGUVU KUBWA KULIKO HATA WANASIASA IWAPO WATAFANYA HIVI

0
Mwandishi Saleh Ally Jembe amesema wanamichezo wana nguvu kubwa ya kupambana na Corona kuliko hata wanasiasa.Akihojiwa na ETv, Salehjembe amesema anaona wanamichezo wengi wakiwemo...

SANCHEZ MAMBO MAGUMU MPAKA INTER MILAN

0
ANTONIO Conte, Kocha Mkuu wa Inter Milan inaelezwa kuwa hana mpango wa kumsajili moja kwa moja nyota wa Manchester United, Alexis Sanchez anayecheza kwa...

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTIXTRA ALHAMISI, LIPO MTAANI

0
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele Gazeti la SPOTIXTRA Alhamisi, lipo mtaani jipatie nakala yako jero tu

MAJEMBE HAYA MAWILI YA KAZI AYAKUBALI AJIBU

0
IBRAHIM Ajibu, kiungo mshambuliaji wa Simba amesema kuwa miongoni mwa wachezaji ambao alikuwa na muungano nao bora ndani ya uwanja ni pamoja na Obrey...

THAMANI YA MZAMBIA ANAYEWINDWA NA SIMBA LAZIMA UKAE

0
 JUSTIN Shonga,mshambuliaji wa kimataia wa Zambia ni miongoni mwa wachezaji ghali sokoni hivyo kibongobongo kuvunja benki ili kuipata saini yake lazima ukae.Mzambia huyo amekuwa...

ISHU YA MAZEMBE KWA AJIBU ILIWEKWA MIKONONI MWA SAMATTA

0
IBRAHIM Ajibu, kiungo mshambuliaji wa Simba amesema kuwa dili lake la kutua Simba aliwashirikisha ndugu zake pamoja na nahodha wa timu ya Taifa ya...

HILI HAPA KOSI MATATA LA YANGA LITAKAVYOKUWA

0
HESABU za Yanga iwapo zitakubali kuwapa nyota wale ambao inaelezwa kuwa wapo kwenye mpango wa kusajili msimu ujao basi hili jeshi la Yanga litakuwa...

KAGERE AMEKUMBUKA MPIRA, CORONA YAMFANYA ASHINDE NDANI

0
MEDDIE Kagere, mshambuliaji namba moja ndani ya Klabu ya Simba amesema kuwa kwa sasa hakuna anachokifanya nchini Rwanda zaidi ya kujifungia ndani kuchukua tahadhari...

KIUNGO YANGA AOMBA MKATABA SIMBA

0
KIUNGO wa zamani wa Yanga, Mbrazil, Andrey Coutinho, ameibuka na kuwaambia viongozi wa Simba kuwa yupo tayari kurejea nchini kujiunga na timu hiyo.Coutinho anayekipiga...

HESABU ZA KAGERA SUGAR ZIPO NAMNA HII, CORONA ILITIBUA MAMBO

0
BADO mambo hajawa shwari kwa sasa kutokana na maambukizi ya Virusi vya Corona ambavyo vinaendelea kusambaa kwa kasi duniani huku shughuli nyingi zikiwa zimesimamishwa.Timu...