NAMUNGO YAZITAKA POINTI TATU ZA YANGA

0
HITIMANA Thiery, Kocha Mkuu wa Namungo amesema kuwa kwa sasa kikosi chake kinajiandaa na mchezo wake wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga unaotarajiwa...

SABABU YA AJIBU, KICHUYA, KAKOLANYA KUSOTA BENCHI HII HAPA, MZUNGU AWAPA MASHARTI MAZITO

0
SVEN Vandenbroeck, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa wachezaji wake wote ni wazuri ila anashindwa kuwatumia kutokana na kushindwa kumshawishi pale wanapopata nafasi.Miongoni mwa...

HII NOMA, MUUAJI WA SIMBA AWAPIGA MKWARA WA MAANA WATANI ZAKE

0
BERNARD Morrison, kiungo mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa watani zake wa jadi Simba washukuru kwa kuwa aliumia angewaliza kwa mabao mengi siku ya Machi...

NYOTA SIMBA: USHINDANI WA NAMBA HAUKWEPEKI DUNIANI KOTE

0
GADIEL Michael, beki wa Simba amesema kuwa ushindani wa namba kwenye timu ni jambo la kawaida duniani kote na linaleta ukomavu kwa mchezaji. Nyota...

WABELGIJI WOTE WA YANGA NA SIMBA WAFANYA YAO SASA, NI NDANI YA CHAMPIONI JUMAMOSI

0
NDANI ya CHAMPIONI jJumamosi kuna kila kitu kuhusu kkusimamishwa kwa Ligi Kuu England, kesho Jumamosi, Machi 14.

SIMBA:LIGI KUU INA USHINDANI MKUBWA

0
BEKI Kisiki wa Simba, Pascal Wawa amesema kuwa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu ina ushindani mkubwa jambo ambalo linawafanya wapasue kichwa kusaka matokeo...

CORONA YASIMAMISHA LIGI KUU ENGLAND KWA MUDA

0
LIGI Kuu ya England imesimamishwa kuanzia leo Machi 13 kwa muda wiki mbili inatarajiwa kurejea Aprili 3 kutokana na mlipuko wa Virusi vya Corona.Hatua...

POLISI TANZANIA: KAZI BADO IPO KWENYE LIGI

0
UONGOZI wa Polisi Tanzania umesema kuwa bado una kazi kubwa ya kufanya ndani ya Ligi Kuu ili kutimiza malengo waliyojiwekea msimu huu.Polisi Tanzania ipo...

SIMBA YACHANGIA YANGA KUPOTEZA MBELE YA KMC NAMNA HII

0
PAPY Tshishimbi, nahodha wa Yanga amesema kuwa walitumia nguvu nyingi kupambana na Simba jambo lililowafanya washindwe kusepa na pointi tatu mbele ya KMC.Yanga jana...

CORONA KWA KOCHA ARSENAL, BEKI JUVENTUS NI UJUMBE HADI LIGI KUU BARA

0
Na Saleh AllyUSIKU wa kuamkia jana imetangazwa kuwa beki wa klabu kigogo ya Italia, Juventus amebainika kuwa anaugua ugonjwa wa Covid-19 maarufu kama Corona.Huyu...