BEKI RUVU SHOOTING AJIWEKA SOKONI

0
BEKI wa kati wa timu ya Ruvu Shooting ya mkoani Pwani Santos Mazengo amesema kuwa, kwa sasa yupo huru kufanya mazungumzo na timu yoyote...

KMC KUONGEZA MASHINE MOJA YA KAZI

0
KOCHA wa KMC, Haruna Harerimana yenye maskani yake Kinondoni amesema kuwa anahitaji kupata saini ya mlinda mlango mpya atakayeongeza changamoto ndani ya kikosi chake.KMC...

BEKI SIMBA ATAKA KUCHEZA YANGA

0
ZANA Coulibaly, raia wa Ivory Coast amesema kuwa yupo tayari kurejea Bngo kukipiga ndani ya Yanga iwapo watahitaji huduma yake.Beki huyo alidumu Simba kwa...

UONGOZI WA TIMU BONGO WAOMBA MSIMU 2019/20 KUYEYUSHWA MAZIMA

0
Timu ya Arusha FC inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza Bara, kupitia kwa Ofisa habari wake Bahati Msilu wameliomba Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kufuta...

BALAA LA SALAH LIPO NAMNA HII UWANJANI, KOCHA MKUU ATOA NENO

0
MOHAMED Salah, nyota anayekipiga ndani ya Klabu ya Liverpool ametumia dakika 2,246 kabla ya Ligi Kuu England kusimamishwa kupisha maambukizi ya Virusi vya Corona.Ametupia...

HUYU HAPA AMELIONDOA JINA LA NDEMLA YANGA

0
IMEFAHAMIKA kuwa jina la kiungo mkabaji wa Mtibwa Sugar, Abdulhalim Humoud ‘Gaucho’ ndiyo limemuondoa Said Ndemla kwenye orodha ya majina ya usajili yaliyopendekezwa na...

SERGE NA SISSOKO WA SPURS WAKIUKA SHERIA YA UMBALI

0
NYOTA wa Spurs Serge Aurier na mwenzake Moussa Sissoko wamevunja Sheria ya umbali wa kufanya mazoezi katika kipindi cha maambukizi ya Virusi vya Corona.Kutokana...

KOCHA WA NAMUNGO AWATAKA WAZAWA KUTAFUTA CHANGAMOTO MPYA NJE YA BONGO

0
KOCHA Mkuu wa timu ya Namungo FC, Hitimana Thiery raia wa Burundi amesema kuwa ni muhimu kwa makocha wa bongo kutoka nje ya nchi...

MASHAKA YA KOCHA MKUU LIGI KUU BARA NI KUSHUKA KWA VIWANGO VYA WACHEZAJI

0
ZUBER Katwila, Kocha Mkuu wa timu ya Mtibwa Sugar amesema kuwa wasiwasi wake mkubwa kwa sasa ni kushuka kwa uwezo wa wachezaji pindi ligi...

KOCHA KAGERA SUGAR AWATAKA WACHEZAJI WASIPUUZIE MAZOEZI

0
UONGOZI wa Kagera Sugar, umesema kuwa ni muhimu kwa kila mchezaji kufanya mazoezi binafsi pamoja na kuchukua tahadhari dhidi ya Corona katika kipindi hiki...