KMC YAZIACHA POINTI SITA JUMLA NYANDA ZA JUU KUSINI
TIMU ya KMC imeacha pointi sita jumla ugenini kwenye mechi zake mbili ilizokuwa ikicheza nyanda za juu Kusini.KMC ilianza kupoteza mbele ya Namungo FC...
SIMBA BAADA YA KUMALIZIANA NA BIASHARA SASA HAO KWA STAND UNITED
BAADA ya ushindi wa jana mbele ya Biashara United kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara walioupata Simba, leo kikosi kimeanza safari kuelekea Mwanza.Simba jana...
NYOTA HAWA WA KIGENI WATANO TU UHAKIKA KIKOSI CHA KWANZA YANGA
PAPY Tshishimbi nahodha wa Yanga amepewa jukumu la kuwaongoza wachezaji wenzake wageni pamoja na kikosi cha Yanga kwenye mechi zote za mikoani ambazo timu...
TWIGA STARS YASHIKA NAFASI YA TATU MASHINDANO YA UNAF
TIMU ya Taifa ya Wanawake Twiga Stars imekamata nafasi ya pili kwenye michuano ya Mataifa ya Afrika Kaskazini (UNAF) yaliyokamilika jana nchini Tunisia. Mabingwa wa...
KIUNGO LUIS ACHEKELEA KUTUPIA NDANI YA SIMBA, AHADI YAKE HII HAPA
KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Luis Miquissone amesema kuwa anafurahi kufunga bao lake la kwanza ndani ya Simba na malengo yake ni kuisiaidia timu yake...
JKT TANZANIA YAICHAPA KAGERA SUGAR JAMHURI
KIKOSI cha JKT Tanzania kilicho chini ya Mohamed Abdallah, 'Bares' jana kimeibuka na ushindi wa bao 1-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa...
KIMENUKA!YANGA YASHTUKIA MCHEZO MCHAFU, NI NDANI YA SPOTIXTRA
MUONEKANO wa Ukurasa wa Mbele Gazeti la SPOTIXTRA Jumapili
YANGA YAKUTANA NA RUNGU HILI KUTOKA TFF
TIMU ya Yanga imetozwa faini ya Tsh 500,000 (laki tano) kwa kosa la timu hiyo kushindwa kuwasilisha fomu yawachezaji wao kwenye Pre match meeting ya...
COASTAL UNION YAIPIGA MKWARA YANGA
JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa timu ya Coastal Union amesema kuwa wachezaji wake wapo sawa na watapambana leo mbele ya Yanga kusepa na pointi...
MIRAJ ATHUMAN WA SIMBA HIKI NDICHO ANACHOKIFIKIRIA
MIRAJ Athuman, mshambuliaji wa Simba amesema kuwa kikubwa anachokifikiria ni kurejea ndani ya Uwanja kuendelea kupambana kwa ajili ya timu yake.Miraj amekuwa nje kwa...