HIVI NDIVYO YANGA ILIVYOBANANA NA POLISI TANZANIA USHIRIKA MOSHI JANA

0
YANGA Jana ikiwa ugenini mbele ya Polisi Tanzania ilikubali sare ya kufungana bao 1-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Ushirika...

KAGERE ATAJA KINACHOMBEBA NDANI YA SIMBA

0
MEDDIE Kagere amesema kuwa kikubwa kinachompa nafasi ya kuendelea kufunga ndani ya kikosi chake cha Simba ni ushirikiano ambao anaupata kutoka kwa wachezaji wenzake.Kagere...

HUYU MWAMBA CIRO NI BALAA NDANI YA SERIA A

0
CIRO Immobile anayekipiga ndani ya Serie A, Ligi Kuu ya Italia amefunga jumla ya mabao 26 ndani akiwa ni kinara kwa utupiaji kwenye ligi...

SABABU ILIYOWAPONZA WACHEZAJI WA YANGA KUSHINDWA KULINDA USHINDI KWA POLISI TANZANIA

0
NAHODHA wa Yanga, Papy Tshishimbi amesema kuwa kilichowaponza kushindwa kupata ushindi mbele ya Polisi Tanzania Uwanja wa Ushirika ni ubovu wa Uwanja huo.Tshishimbi aliongoza...

KOCHA YANGA:MOLINGA ATAFUNGA MABAO MENGI

0
LUC Eymael, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa anaimani mshambuliaji wake David Molinga atafunga mabao mengi kwenye ligi. Molinga ni kinara ndani ya Yanga...

AZAM FC YAZIPIGIA HESABU POINTI TATU ZA NDANDA

0
AZAM FC leo ina kibarua cha kumenyana na Ndanda FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa Uwanja wa Nangwanda Sijaona.Azam FC iliyo chini...

MBEYA CITY: HALI NI MBAYA KWETU

0
KOCHA Msaidizi wa Mbeya City,Mohamed Kijuso amesema kuwa timu yake ipo kwenye hali mbaya msimu huu kutokana na matokeo mabovu ambayo wanayapata jambo linalowafanya...

MTIBWA SUGAR YAPATA PAKUTOKEA LEO

0
UONGOZI wa Mtibwa Sugar umesema kuwa leo utapambana kupata matokeo mbele ya Tanzania Prisons kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa Uwanja wa Jamhuri,...

SIMBA YATAJA SABABU YA KUSHINDWA KUFUNGA MABAO MENGI MBELE YA KAGERA SUGAR

0
NAHODHA wa Simba, John Bocco amesema kuwa wapinzani wao Kagera Sugar walicheza kwa kiwango bora jambo lililowafanya washindwe kuwafunga mabao mengi kutokana na nafasi...

UONGOZI WA YANGA WATAJA WALICHOJIFUNZA KWENYE SARE ZAO TATU MFULULIZO

0
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa matokeo ya sare mfululizo waliyoyapa yamewafumbua macho na kuwafanya watambue kwamba ligi ya msimu huu wa 2019/20 ni ngumu...