NYOTA HUYU ANAIFUKUZIA REKODI YA AJIBU KIMYAKIMYA

0
NICOLAS Wadada, beki wa Azam FC amezidi kuwa mwiba ndani ya Ligi Kuu Bara kwa kuikimbiza rekodi ya kiungo wa Simba aliyoiweka msimu wa...

AZAM FC YATUMA UJUMBE KWA WAPINZANI WAO COASTAL UNION

0
IDD Cheche, Kocha Msaidizi wa Azam FC amesema kuwa kwa sasa kikosi kinajipanga kwa ajili ya mchezo wao wa ligi dhidi ya Coastal Union...

SIMBA KUIFUATA LIPULI YA IRINGA LEO

0
BAADA ya kikosi cha Simba kupata ushindi wa mabao 3-0 mbele ya Mtibwa Sugar Uwanja wa Jamhuri Morogoro, leo kinaifuata Lipuli, Iringa.Simba ambao ni...

HIVI NDIVYO ABAROLA WA AZAM ALIVYOWANYIMA POINTI WAPINZANI WAKE KWA KUOKOA PENALTI

0
RAZACK Abarola, mlinda mlango namba moja wa Azam FC ameweka rekodi ya kuwatisha wapiga penalti wawili kushindwa kumtungua akiwa langoni na kuipa pointi sita...

SINGIDA UNITED INATAFUTA DAWA YA TATIZO LAO

0
KIKOSI cha Singida United kilicho chini ya Ramadhan Nswanzurimo juzi kilibanwa mbavu na Namungo FC kwa kufungwa bao 1-0 mchezo wa Ligi Kuu Bara...

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTIXTRA ALHAMISI

0
MUONEKANO wa Ukurasa wa nbee Gazeti la SPOTIXTRA Alhamisi

TAMKO LA KIUNGO YANGA JUU YA UBINGWA KUTUA KWAO MSIMU HUU

0
Kiungo wa Yanga, Haruna Niyonzima raia wa Rwanda amefunguka kuwa, iwapo watashirikiana kwa pamoja wachezaji wote na benchi la ufundi ana uhakika wa timu...

ZAHERA AIBUKA NA YA KWAKE KUHUSIANA NA MORRISON

0
Kocha aliyewahi ifundisha Yanga, Mwinyi Zahera, amefunguka mambo kadhaa kuhusiana na mshambuliaji mpya wa timu hiyo, Bernard Morrison.

BIRTHDAY YA YANGA ILIVYOTIBULIWA

0
Bernad Morrison, mshambuliaji wa Yanga, juzi ameonyesha ushujaa wake mbele ya Mbeya City kwa kufunga bao la kiufundi kwenye sare ya bao 1-1 mchezo...

CORONA YAZIDI KUWA TISHIO KWA WAAFUNZI WATANZANIA, SERIKALI NCHINI YATOA TAMKO

0
Balozi wa Tanzania nchini China, Mbelwa Kairuki amesema wanafunzi wanaosoma katika mji wa Wuhan hawawezi kurudi kwa sababu kuna katazo la kutoingia wala kutoka...