JKT TANZANIA; MECHI YETU DHIDI YA SIMBA NI NGUMU, ILA TUNAZITAKA POINTI TATU

0
ABDALLAH Mohamed 'Bares', Kocha mkuu wa JKT Tanzania amesema kuwa mchezo wa kesho mbele ya Simba ni mgumu ila kikosi kipo tayari kupata ushindi.JKT...

MSHAHARA WA MORRISON YANGA ACHA KABISA NI NDANI YA CHAMPIONI IJUMAA

0
MUONEKANO wa UKURASA wa Mbele Gazeti la CHAMPIONI Ijumaa

MESSI AANZA KUNUKIA CITY, NDANI YA CHAMPIONI IJUMAA

0
MUONEKANO wa UKURASA wa Nyuma Gazeti la CHAMPIONI Ijumaa

YANGA WATANGAZA KUFANYA MAANDAMANO, SIMBA YATAJWA – VIDEO

0
Walichokisema mashabiki wa klabu ya Yanga kutokana na mwenendo wa mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara huku wakiwataja watani zao wa jadi Simba.

KOCHA YANGA ADAI KULIKUWA NA HARUFU ISIYOFAA VYUMBANI

0
Kocha wa Klabu ya Yanga, Luc Eymael, amesema kuwa kulikuwa na harufu kali na isiyoeleweka katika vyumba vyao vya kubadilishia nguo juzi Jumatano, Februari...

MBELGIJI SIMBA ATOA SABABU ZA TIMU YAKE KUBORONGA KIWANGO

0
MASHABIKI wa Simba wameonyesha hasira huku wakidai hawaelewi kinachoendelea kwenye timu yao haswa kwenye kiwango na aina ya matokeo.Lakini kocha mkuu wa timu hiyo,...

MAAMUZI MAGUMU KUFANYIKA NDANI YA SIMBA, MBADALA WA SVEN ATAJWA

0
Baada ya kikiso cha Simba kuonesha kiwango kilicho butu katika mechi za hivi karivuni, inaelezwa kuwa mabosi wa Simba wapo kwenye mchakato wa kusaka...

KUMEKUCHA, MFAUME ATAKA AZICHAPE NA MWAKINYO

0
Bondia Mfaume Mfaume amesema anataka kupambana na Bondia kutoka mjini Tanga, Hassan Mwakinyo muda wowote akitaka na kwa gharama yoyote anayotaka wakikubaliana.Mfaume amedai pambano...

MTAALAMU WA SOKA LA KISASA YANGA ASEPA ZAKE KWAO, KILICHOFANYIKA CHATAJWA

0
NGULI na mtaalam wa mfumo wa soka la kisasa, Carraca Antonio Domingoz Pinto (pichani), amefikia muafaka na Yanga na amerejea kwao kuweka mambo sawa...