MBELGIJI WA YANGA AKOSESHWA USINGIZI NA MTIBWA SUGAR
KOCHA wa Yanga, Luc Eymael amesema kuwa kila anapokuwa na mechi karibu huwa halali akikesha kutafuta mbinu za kuwamaliza wapinzani wake jambo ambalo linamsaidia...
MTIBWA YATUMIA MAMILIONI HAYA KUIMALIZA YANGA LEO
IMEELEZWA kuwa uongozi wa Mtibwa Sugar umewapa Sh milioni 70 wachezaji wake ili kuhakikisha wanashinda mechi zake za ligi ukiwemo wa leo dhidi ya...
COASTAL UNION YATAJA KILICHOWAPONZA KUPOTEZA MBELE YA SIMBA, TAIFA
JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa timu ya Coastal Union amesema kuwa kilichomponza kupoteza mchezo wake mbele ya Simba ni kukosa umakini kwa wachezaji wake...
HAWA HAPA LEO KUKOSEKANA NDANI YA UWANJA WA TAIFA MECHI YA YANGA NA MTIBWA,...
LEO Uwanja wa Taifa kutakuwa na mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Yanga iliyo chini ya Luc Eymael raia wa Ubelgiji na Mtibwa...
HIZI HAPA REKODI SITA ZA SAMATTA NDANI YA ENGLAND NI ZA MOTO
MBWANA Samatta, mshambuliaji wa Aston Villa ambaye alisajiliwa kwenye dirisha dogo la mwezi Januari akitokea Genk ya Ubelgiji ameweka rekodi kibao kwa muda mfupi...
TANZANITE YAFANYA KWELI UGENINI, YAPINDUA MATOKEO KIBABE
PHIONA Nabbumba wa Timu ya Wanawake chini ya miaka 20 ya Uganda alijichanganya dakika ya 48 ya kipindi cha pili kuitungua timu ya Taifa...
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTIXTRA,JUMAPILI
MUONEKANO wa Ukurasa wa Mbele Gazeti la SPOTIXTRA, JUMAPILI
MAMA KABWILI APATWA NA PRESHA, APELEKWA HOSPITALI – VIDEO
KIPA namba tatu wa Yanga Ramadhani kabwili ameondolewa kwenye kambi ya timu hiyo baada ya kupata taarifa za mama yake mzazi presha kushuka kabla...
SIMBA YAZIDI KUMVAA KABWILI, TAMKO JINGINE LATOLEWA
UONGOZI wa Klabu ya Simba umeendelea kumng’ang’ania kipa wa Yanga, Ramadhani Kabwili kutaka kuthibitisha kauli yake ya kudaiwa kutaka kuhongwa gari aina ya IST.Kabwili...