SAMATTA AWEKA REKODI MOJA MATATA SANA, KAMTUNGUA GUARDIOLA HANA HAMU NAYE

0
MBWANA Samatta, nyota anayekipiga ndani ya Klabu ya Aston Villa inayoshiriki Ligi Kuu England leo ameweka rekodi mpya kwa kufunga bao katika mechi ya...

MANCHESTER CITY YABEBA UBINGWA WA CARABAO MBELE YA SAMATTA

0
ASTON Villa timu anayokipiga Mbwana Samatta, jana Machi Mosi imeshuhudia ubingwa ukisepa jumla mpaka mikononi mwa wapinzani wao Manchester City.Villa iliyo chini ya Dean...

JURGEN KLOPP AIPA TANO WATFORD KWA KUMTIBULIA REKODI YAKE MAZIMA

0
KOCHA Mkuu wa Liverpool, Jurgen Klopp amesema kuwa wapinzani wao Watford walistahili kushinda mabao 3-0 waliyoyapata kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu England.Mchezo huo...

SIMBA YAIPOTEZA KCM KWA MABAO 2-0 UWANJA WA TAIFA, LUIS AFANYA YAKE

0
LUIS Miquissone leo amewainua mashabiki wa Simba kwa kupachika kimiani mabao mawili yote wakati wakiilaza KMC kwa mabao 2-0 Uwanja wa Taifa.Mchezo wa leo,Machi...

JESHI LA ASTON VILLA DHIDI YA MANCHESTER CITY, SAMATTA NDANI

0
KIKOSI cha Aston Villa kitakachoanza leo dhidi ya Manchester City. Fainali ya Carabao, Samatta ndani

KIKOSI CHA SIMBA KITAKACHOANZA LEO DHIDI YA KMC

0
KIKOSI cha Simba kitakachoanza leo dhidi ya KMC Uwanja wa Taifa saa 2:00 usiku

KOCHA WA SAMATTA AMPA KAZI NYINGINE YA KUFANYA, LEO KITAWAKA MBELE YA CITY

0
DEAN Smith, Kocha Mkuu wa Aston Villa amesema kuwa ana imani na nyota wake mpya Mbwana Samatta atakuwa msaada kwenye kikosi hicho.Leo Samatta ana...

KMC KWENYE KIBARUA KIZITO CHA KUFUTA UTEJA MBELE YA SIMBA, REKODI ZINAIBEBA SIMBA

0
SVEN Vandenbroeck,Kocha Mkuu wa Simba leo, Machi Mosi atakiongoza kikosi chake Uwanja wa Taifa dhidi ya KMC iliyo chini ya Harerimana Haruna.KMC iliyopanda daraja...

JESHI LA TIMU YA TAIFA YA U 17 LITAKALOANZA DHIDI YA UGANDA LEO TAIFA

0
HILI hapa jeshi la timu ya Taifa ya Wanawake chini ya miaka 17 litakaloanza dhidi ya Uganda leo Uwanja wa Taifa.

KOCHA WA KMC KUVAA SIMBA NA HOFU KUBWA YA KIBARUA CHAKE

0
IMEELEZWA kuwa Kocha Mkuu wa KMC leo anaingia uwanjani na kikosi chake akiwa na hofu tupu juu ya kibarua chake ndani ya timu hiyo.KMC...