MATOKEO MABAYA YAISIKITISHA YANGA, UJUMBE HUU WATUMWA SINGIDA
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa umesikitishwa na matokeo ya mechi zake mbili zilizopita na kuomba sapoti kwa mashabiki wao.Yanga iliyo chini ya Kocha Mkuu,...
SINGIDA UNITED BANA, YAITANGAZIA HATARI YANGA
UONGOZI wa Singida United iliyo chini ya Kocha Mkuu, Ramadhan Nswanzurimo umesema kuwa hauna mashaka na mchezo wao wa kesho, Januari 22 dhidi ya...
JESHI LA AZAM FC LAKWEA PIPA KUIFUATA MWADUI FC
TIMU ya Azam FC iliyo chini ya Arstica Cioaba, leo imekwea pipa kuelekea mkoani Shinyanga kwa ajili ya mchezo wao wa ligi dhidi ya...
EXCLUSIVE!! SAMATTA ATAMBULISHWA ASTON VILLA, AMWAGA WINO WA MIAKA MINNE
Rasmi klabu ya Aston Villa imekamilisha usajili wa straika Mtanzania aliyekuwa ainchezea KRC Genk ya Ubelgiji, Mbwana Samatta kwa mkataba wa miaka minne na...
STRAIKA MGHANA YANGA AIBUKA NA MPYA
MSHAMBULIAJI mpya wa Yanga, raia wa Ghana, Bernard Morrison, amewaondoa hofu Wanayanga kwa kuwaambia kuwa kama lilikuwepo tatizo la ushambuliaji kwenye timu hiyo, basi...
KINACHOCHELEWESHA MBWANA SAMATTA KUTAMBULISHWA ASTON VILLA
USAJILI wa Mbwana Samatta kwenda Aston Villa katika timu ambayo inashika nafasi ya 18 kabla ya mechi yao ya juzi Jumamosi, unaweza kuwa sahihi...
DIAMOND NA ALIKIBA WAUNGANA, WAFANYA MAKUBWA – VIDEO
Mahasimu wa muda mrefu katika mziki wa Bongo Nasib Abdul na Ali Kiba kwa pamoja wameungana kufanya matukio makubwa
TAFRANI YAPAMBA VITA YA DIAMOND NA HARMONIZE, MATUSI YATAWALA – VIDEO
Omary Mwanga maarufu kama MARIO amewaingiza vitani Diamond na Harmonize na kufanya mtifuano mkali katika mitandao ya kijamii.Pande zote mbili zimeonesha nia ya kumtaka...
WATANZANIA WALIZWA NA DILI LA SAMATTA, WASHANGAZWA NA ASTON VILLA
Ni takribani siku ya tano sasa tangu zilipoibuka tetesi juu ya mshambuliaji wa Genk na timu ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars', Mbwana Samatta...