YANGA YAWASHUKURU MASHABIKI YAWAITA NAMFUA JUMATANO
JUMA Abdul, nahodha msaidizi wa Yanga kuwa watapambana kwenye mechi zao zilizobaki kutokana na kutokuwa na matokeo mazuri kwenye mechi zao mbili za hivi...
AKILI ZA AZAM FC SASA ZIMEHAMIA HUKU, YAZIPIGIA HESABU POINTI TATU ZA MWADUI
UONGOZI wa Azam FC umesema kwa sasa unazipigia hesabu pointi tatu za Mwadui FC ya Shinyanga.Azam FC iliyo chini ya Arstica Cioaba iliifunga Yanga...
WAWILI WATWAA TUZO NDANI YA ALLIANCE
UONGOZI wa Alliance umendelea kutoa tuzo kwa wachezaji wao ambapo jana ilitoa tuzo kwa wachezaji wawili waliofanya vizuri mwezi Novemba na Desemba.Wachezaji hao wawili...
MZIMU WA MAJERUHI WAITESA UNITED, SASA YAHAHA KUMTAFUTA MBADALA WA RASHFORD
OLE Gunnar Solskajer, Kocha Mkuu wa Manchester United amesema kuwa anafanya mpango wa kumtafuta mbadala wa Marcus Rashford kwa mkopo baada ya kuthibisha kwamba...
SIMBA YACHOTA ZAIDI YA MILIONI 600 KWA SAMATTA
Mbwana Ally Samatta kila anakokwenda kucheza basi ujue Klabu ya Simba inaingiza mkwanja na hii ni kutokana na kuhusika kwenye malezi ya mshambuliaji huyo...
DUA MAALUM AFANYIWA MBWANA SAMATTA
FAMILIA ya nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta, juzi usiku ilikutana na kusoma dua ya kumtakia kheri kijana wao katika harakati za kuanza kucheza...
UONGOZI SIMBA WAWEKA SAWA SUALA LA MGAO WA MAMILIONI YA SAMATA ASTON VILLA
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Simba, Senzo Mazingisa, amesema sio kweli Simba itapata mgao wa asilimia 20 ikiwa Klabu ya KRC Genk itamuuza mshambuliaji Mbwana...
YANGA CHINI YA LUC YAWEKA REKODI YA AJABU
YANGA imekubali kipigo cha pili mfufulizo baada ya kufungwa na Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliochezwa Uwanja wa Taifa, Dar...
KIMEWAKA JANGWANI, YANGA WATAKA KOCHA AONDOLEWE
Baada ya kupokea kichapo cha bao 1-0 dhidi ya Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu Bara juzi, mashabiki wengi wa Yanga wamefunguka wakiutaka...