SUALA LA KUCHEZEA WANAWAKE, DIAMOND APEWA ONYO
WAKATI lile penzi shatashata la staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na mzazi mwenzake, Tanasha Donna Oketch, likidaiwa kupumulia mashine, jamaa huyo...
HATIHATI YA MECHI KATI YA SIMBA NA ALLIANCE KUFANYIKA LEO CCM KIRUMBA
Taarifa zilizotufikia kutoka jijini Mwanza katika dimba la CCM Kirumba ni hatihati ya mechi ya Alliance dhidi ya Simba kufanyika.Kuna uwezekano mechi hiyo iaksogezwa...
BRUNO FERNANDES AZICHANGANYA UNITED, CITY NA CHELSEA
IMEELEZWA kuwa Ole Gunnar Solskjaer, Kocha Mkuu wa Manchester United anampigia hesabu nyota wa Sporting Lisbon, Bruno Fernandes.Baada ya dirisha dogo kufunguliwa mwezi Januari,...
KOCHA YANGA AWAKA VIBAYA, AZUNGUMZIWA KUFANYIWA UBAGUZI – VIDEO
YANGA bhana! Kama mlivyosikia kwani imeshindwa kutamba kwa mara nyingine mbele ya Azam FC baada ya kupokea kipigo cha bao 1-0 kwenye mchezo uliopigwa...
CCM KIRUMBA TENA KUWAKA MOTO LEO, ALLIANCE V SIMBA VITA YA KISASI
LEO Uwanja wa CCM Kirumba, Alliance FC iliyo chini ya Kocha Felix Minziro itakuwa na kazi ya kumenyana na Simba iliyo chini ya Kocha...
YANGA BHANA, KAMA MLIVYOSIKIA!! SPOTI XTRA KATIKA UKURASA WA MBELE LEO JUMAPILI
Ukurasa wa mbele wa gazeti la Spoti Xtra katika ukurasa wa mbele leo Jumapili.
PONGEZI ZA DHATI KWA WACHEZAJI SIMBA ZATOLEWA
Kocha Mkuu wa timu ya Simba SC, Sven Vanderbroeck amewapongeza wachezaji wake baada ya ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mbao FC katika mchezo...
NAMNA SIMBA WATAKAVYONUFAIKA NA PESA SAMATTA ASTON VILLA, RAGE AFUNGUKA
Mwenyekiti wa zamani wa klabu ya Simba Ismail Aden Rage, amesema alisaini mkataba na TP Mazembe ambao unaiwezesha Simba kupata asilimia 20 ya pesa...