SIMBA YAZIPIGIA HESABU POINTI TATU ZA ALLIANCE FC
BEKI kisiki wa Simba, Pascal Wawa amesema kuwa hawatailazia damu mechi yao dhidi ya Alliance, inayotarajiwa kuchezwa Januari, 20, Uwanja wa CCM Kirumba.Simba jana...
MILIONI 250 ZAPEPERUKA KIMAAJABU NDANI YA DAKIKA 180 YANGA
IMEELEZWA kuwa Yanga imezipeperusha milioni 250 ndani ya dakika 180 ambazo ni sawa na mechi mbili walizocheza wachezaji wao kwenye mechi za Ligi Kuu...
AZAM FC YAPANIA KUMPA MACHUNGU MENGINE MZUNGU WA YANGA
UONGOZI wa Azam FC umesema utamuongezea mzigo wa machungu, Kocha Mkuu wa Yanga, Luc Eymael ambaye alipokea kichapo cha mabao 3-0 mbele ya Kagera...
HIVI NDIVYO VIGONGO ATAKAVYOANZA NAVYO SAMATTA ENGLAND
DILI la nyota wa Tanzania Mbwana Samatta likijibu kujiunga na Aston Villa iliyo nafasi ya 18 kwenye msimamo na pointi zake 21 anaweza kuanza...
USAJILI WA KICHUYA UNAFIKIRISHA SANA, KAMA NI HESABU ZA KOCHA, AU NI KUFURAHISHANA…
NA SALEH ALLYNAJUA nawakasirisha sana watu kadhaa kuhoji kuhusiana na mambo kadhaa kwa kuwa tu naelewa Watanzania wengi hatupendi kukosolewa.Bahati mbaya ambao hawataki kukosolewa,...
MAKOFI YA MASHABIKI YANGA KWA WACHEZAJI WAO BAADA YA KIPIGO NI TIBA MPYA YA...
Na Saleh AllyBAADA Yanga kuchapwa mabao 3-0 katika siku ya kwanza ya kocha Luc Eymael akiwa ndio amekaa benchi, kama ilivyo ada jazba kutoka...
BEKI WA MANCHESTER UNITED ASHINIKIZA KUSEPA MAZIMA
BEKI wa Manchester United, Ashley Young imeripotiwa kuwa amegomea mazoezi ya timu yake akishinikiza kutimkia ndani ya kikosi cha Inter Milan.Young amekubali kujiunga na...
BOSI WA LIVERPOOL ALITUMIA DAKIKA 15 KUWARUDISHIA FURAHA NYOTA WAKE MANE NA SALAH
JURGEN Klopp, Kocha Mkuu wa Liverpool amesema kuwa alimaliza mapema mgogoro wa nafsi kati ya Mohamed Salah na Sadio Mane uliotokea ndani ya timu...
RASHFORD HATIHATI KUIKOSA LIVERPOOL, NDANI YA CHAMPIONI IJUMAA
CHAMPIONI Ijumaa, Muonekano wa Ukurasa wa nyuma, Januari 17,2020
MNYAMA AREJESHA HESHIMA, ISHU YA MOLINGA HUKO YANGA PIA YANOGA, CHAMPIONI IJUMAA
JANUARI,17 Muonekano wa Ukurasa wa mbele Gazeti la CHAMPIONI Ijumaa