SOMO LA KATUMBI KWA MO DEWJI JUU YA UWEKEZAJI
Mwenyekiti wa Klabu ta TP Mazembe ya DR Congo, Moses Katumbi, ameibuka na kumfunda Bilionea mwenzake, Mohamed Dewji ‘Mo’ ili ajue miko ya kuwa...
BAADA YA KUMALIZANA NA ASTON VILLA, SAMATTA KUFANYIWA VIPIMO KESHO
Klabu ya Aston Villa ya England, imekubaliana kila kitu na mshambuliaji wa KRC Genk, Mbwana Samatta.Samatta ni nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania...
ASTON VILLA TAYARI KWA SAMATTA, YAKUBALI KUMWAGA KITITA CHA PAUNI MILIONI 10
Mshambuliaji wa KRC Genk, Mbwana Samatta amefikia makubaliano na klabu ya Aston Villa ya England.Samatta anatarajia kujiunga na Aston Villa ambayo inashiriki Ligi Kuu...
SIMBA BABA LAOO, YAIPIGA MBAO, YAIACHA YANGA KWA POINTI 13 SASA
HASSAN Dilunga 'HD' alianza kupeleka maumivu kwa wapinzani wao leo Mbao FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa CCM Kirumba kwa...
LIGI KUU BARA: MBAO 0-0 SIMBA
Kipindi cha Kwanza: Mbao 0-0 SimbaUwanja wa CCM KirumbaMchezo unaoendelea kwa sasa Uwanja wa CCM Kirumba ni kati ya Mbao FC na Simba kipindi...
SINGIDA UNITED YAGOMEA KUSHUKA DARAJA
UONGOZI wa Singida United umesema kuwa utapambana msimu huu kubaki ndani ya ligi kutokana na usajili walioufanya.Singida United haijawa na msimu mzuri kutokana na...
KIKOSI CHA SIMBA KILICHOANZA DHIDI A MBAO FC LEO UWANJA WA CCM KIRUMBA
HIKI ndicho kikosi cha Simba leo kilichoanza dhidi ya Mbao FC, Uwanja wa CCM Kirumba, Januari 16
ALIYEMTUNGUA MANULA NDANI YA MBAO ANA JAMBO LAKE JINGINE TENA
SAID Khamis Jr mshambuliaji wa Mbao FC leo ana kazi kubwa ya kuendeleza ubabe wake aliouanza msimu wa mwaka 2018/19 uwanja wa CCM Kirumba...
ISHU YA KICHUYA KUREJEA YAACHA MASWALI HAYA MATANO KWA JEMBE, HEBU TUSAIDIANE KUMJIBU
KUTOKANA na timu ya Simba iliyo chini ya Kocha Mkuu, Sven Vanderbroeck kumrejesha ndani ya kikosi hicho mchezaji wao wa zamani, Shiza Kichuya, Saleh...
HIKI NDICHO KINACHOIMALIZA KMC KUSHINDWA KUPATA MATOKEO CHANYA, DAWA YAKE YAPATIKANA
HARUNA Harerimana, Kocha Mkuu wa KMC amesema kuwa kazi kubwa aliyonayo kwa sasa ni kusuka upya kikosi kitakachowavuruga Mtibwa Sugarambao ni mabingwa wa kombe...