JUVENTUS KUMNYAKUA DE GEA

0
Klabu ya Juventus ambayo imekuwa ikifanya usajili wa kufuru kwa miezi ya hivi karibuni, inajiandaa kumsajili kipa wa Manchester United, David de Gea.De Gea...

MECHI YA SIMBA NA MTIBWA YAPANGULIWA, RATIBA MPYA YATAJWA

0
Mchezo wa Ligi Kuu kati ya Simba dhidi ya Mtibwa Sugar ambao ulipangwa kuchezwa Septemba 18, 2019 umerudishwa nyuma na sasa utachezwa Ijumaa Septemba...

SASA MBABE AANZA KUMWAGA TAMBO, MCHINA AMPA KIBURI

0
ABDALAH Panzi ‘Dulla Mbabe’ bingwa wa  ubingwa wa Shirikisho la Ngumi za Kulipwa Duniani (WBO) Asia Pacific uzito wa kati (Super Middle) ambao aliupata...

SAMATTA ATOA OFA KWA WACHEZAJI WOTE STARS

0
Ujumbe alioandika Mbwana Samatta kupitia ukurasa wake wa Twitter juu ya Taifa Stars.

YANGA YAPATA KIBOKO YA MO DEWJI

0
Baada Ijumaa kukusanya Sh. mil 10.8 kwenye harambee ya kuichangia Yanga iliyofanyika jijini hapa sasa inakuja na kishindo kingine cha udhamini ambao utatikisa na...

HESAB ZA MBEYA CITY TPL ZIPO NAMNA HII

0
UONGOZI wa Mbeya City umesema kuwa umejipanga kufanya makubwa msimu huu kutokana na ushindani uliopo ndani ya ligi.Mbeya City ilikuwa na mchezo Septemba 18...

MBELGIJI SIMBA AMFUNGIA KAZI IBRAHIM AJIBU

0
Mbelgiji hataki ujinga hii ni baada ya kumfungia kazi straika wake mahiri, Ibrahim Ajibu kwa kuhakikisha anafanya mazoezi kwa ufasaha zaidi huku kocha Adel...

TETEMO LA ARDHI LAIVAMIA KATAVI

0
Tetemeko kubwa la ardhi limetokea usiku wa kuamkia leo majira ya saa 9:30 (usiku wa kuamkia leo) mkoani Katavi na kuyakumba baadhi ya maeneo...

MESSI NA DIJK NDANI YA TETESI MOTO ZA SOKA BARANI ULAYA LEO JUMATATU

0
Barcelona wanaandaa mkataba mpya wa mshambuliaji Lionel Messi, 32, ambao utambakisha nyota huyo Camp Nou kwa miaka iliyosalia ya maisha yake ya soka. (Mundo...

YANGA YAPEWA NAFASI YA KUIMALIZA ZESCO MAPEMA, RATIBA YAKE LIGI KUU YAPANGULIWA

0
Shirikisho la Soka Tanzania kupitia Bodi ya Ligi (TPLB) imefanya mabadiliko ya mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Yanga dhidi ya Mbeya City.