AJIBU APIGWA CHINI YANGA, ZAHERA AMEAMUA

0
Imeelezwa kuwa Kocha Mkuu wa Yanga Mwinyi Zahera amewashangaa viongozi ya klabu hiyo kwa kuanza majadiliano ya kumpa mkataba mpya nahodha wa timu hiyo...

Wachezaji waliokamilisha usajili Ligi Kuu 2019/20

0
Tunaendelea kujaza wachezaji ambao wanajiunga/kuongeza mikataba katika vilabu vya Ligi Kuu kwa msimu wa Ligi Kuu 2019/20. Hii ni kwa mujibu wa...

KUBWA KULIKO NI YA KIBABE, MOJA KWA MOJA LITARUSHWA NA AZAM TV

0
 Kubwa Kuliko itazinduliwa rasmi Jumamosi,Ukumbi wa Diamond Jubilee, Upanga jijini Dar es Salaam na wanachama pamoja na viongozi wa Yanga lengo likiwa moja kuichangia...

STARS YAPATA MAKOCHA WAWILI WAPYA, WAANZA KAZI MOJAKWAMOJA

0
MWENDO Mdundo sasa kwa timu ya Taifa ya Tanzania ambayo imeweka kambi nchini Misri kwa ajili ya kujiaanda na michuano ya Afcon inayotarajiwa kuanza...

YANNICK CARRASCO KUIBUKIA KWA WASHIKA BUNDUKI

0
YANNICK Carrasco kwa sasa kuna uwezekano mkubwa kuibukia kwenye kikosi cha Arsenal kilicho chini ya Unai Emery kumwaga wino.Winga huyo mwenye miaka 25 amefunga...

JERO TU UTAONA MECHI KALI YA LEO, MZUMBE VIJANA CUP, TEGETA

0
LIGI ya Mzumbe Vijana Cup inazidi kukata mbunga ambapo leo majira ya saa 10:00 uwanja wa Sekondari Tegeta itaipigwa bonge moja ya mechi.Ligi hiyo ...

AISHI MANULA APIGWA PINI RASMI MIAKA MITATU

0
MLINDA mlango wa Simba, Aishi Manula ameongeza mkataba wa miaka mitatu kuendelea kuitumikia klabu hiyo yenye maskani yake mitaa ya Kariakoo, Msimbazi.Manula anakuwa mchezaji...

Hakuna uhakika wa Zana

0
Hakuna uhakika wa ZanaSimba yakanusha kuwatema Zana na KwasiBocco ni mchezaji wa Simba na siyo Polikwane FC.Aussems anapowakataa Kotei, Niyonzima na kumkubali...

LIPULI YAMCHUNIA MATOLA, KAMBI YAO YAVUNJWA KIMAAJABU

0
KOCHA wa Lipuli, Seleman Matola amesema kuwa mpaka sasa hajaitwa mezani na uongozi wa Lipuli kujadili hatma ya mkataba wake pamoja na mipango ya...

ISSU YA BOCCO WA SIMBA KUSAINI TIMU MBILI IPO NAMNA HII

0
UONGOZI wa Simba umesema kuwa klabu ya Polokwane FC ya nchini Afrika Kusini imekiuka makubaliano ya FIFA kwa kudai mchezaji John Bocco ni mali...