MOURINHO ABEBA MATUMAINI KIBAO KWA NYOTA WAKE MPYA NDANI YA SPURS
JOSE Mourinho, Kocha Mkuu wa Spurs amesema kuwa anaamini nyota wake mpya, Steven Bergwijn ataonyesha makubwa mbele ndani ya timu yake.Raia huyo wa Netherlands...
SIMBA V POLISI TANZANIA, TAMBO ZATAWALA
SIMBA kesho itashuka Uwanja wa Taifa kumenyana na Polisi Tanzania mchezo wa Ligi Kuu Bara.Mchezo huo utakuwa wa 19 kwa Simba kukamilisha mzunguko wa...
MORRISON BALAA ALILOFANYIWA JANA TAIFA NA MTIBWA SUGAR WE ACHA TU
BERNARD Morrison alikutana na balaa zito uwanjani jana, Februari,3 wakati timu yake ikshinda bao 1-0 mbele ya Mtibwa Sugar, Uwanja wa Taifa.Bao pekee la...
MBWANA SAMATTA ATUMA UJUMBE HUU KWA WATANZANIA
MSHAMBULIAJI wa timu ya Aston Villa inayoshiriki Ligi Kuu England, Mbwana Samatta ambaye ni nahodha wa timu ya Tanzania ametuma ujumbe huu kwa mashabiki...
BAADA YA KUBANWA MBAVU SASA AZAM FC KUGEUKIA UPANDE HUU
BAADA ya kubwanwa mbavu na Mbeya City kwa kufungana bao 1-1 Uongozi wa Azam FC umesema kuwa sio mbaya kwa kuwa ilikuwa ni mechi...
KUPITIA GREALISH, WATANZANIA TUNAMUIABISHA SAMATTA KWA KUWA TUNA FIKRA ZA KI-LIGI KUU BARA
Na Saleh AllyKOCHA Dean Smith wa Aston Villa, aliamua kufanya mabadiliko ya mapema katika dakika ya 58 katika mechi dhidi ya Bournemouth wakiwa nyuma...
TUSIIUE HOJA YA MSINGI KWA KISINGIZIO SIMBA INAPENDELWA…
NA SALEH ALLYNATAKA niende moja kwa moja kuwa nimekuwa nikikerwa na propaganda zinazoenezwa na baadhi ya watu ambao ninaamini wameshindwa mambo.Mjadala huu unachombezwa na...
NYOTA WA KAGERA SUGAR AWEKA REKODI YA KUSEPA NA MPIRA BONGO
KELVIN Sabato mshambuliaji wa Kagera Sugar amekuwa mshambuliaji wa kwanza ndani ya mwaka 2020 kusepa na mpira wake kwenye mechi za Ligi Kuu Bara...
CHONDE CHONDE, TUNAMUABISHA SAMATTA
Hali inazidi kuwa mbaya na hatari ya utandawazi inaonekana maana leo hii mashabiki wa soka nyumbani Tanzania wanaweza kuwasiliana moja kwa moja na klabu...
MABINGWA WATETEZI CITY MAMBO BADO, SPURS YAWAFANYIA BALAA
STEVEN Bergwijn, nyota wa Spurs alifungulia balaa la mabao mbele ya Manchester City kwenye mchezo wa Ligi Kuu England uliomuacha Pep Guardiola akiziacha pointi...