ISHU YA HARMONIZE NA UBUNGE YASABABISHA AWEKWE KIKAANGONI, KILICHOAMULIWA NI HIKI

0
DAR: Wakati wimbi la wasanii kujitosa kwenye siasa likiendelea, staa wa Bongo Fleva, Rajabu Abdul ‘Harmonize’ huenda akakwaa kisiki baada ya uongozi wa Chama...

SIMBA YATUA DAR, KOCHA ATOA LAKE KWA WACHEZAJI

0
KIKOSI cha Simba kimerejea leo Dar kikitokea mkoani Mwanza ambako kilikuwa na mechi mbli za Ligi Kuu Bara.Simba ilicheza na Mbao FC na ilishinda...

MZUNGUKO WA PILI UPO NJIANI, WACHEZAJI WAPYA KAZI KUONYESHA UWEZO WENU

0
LIGI Kuu Tanzania Bara mzunguko wa kwanza hesabu zake ndo zinafungwa kwa sasa ambapo timu zinakamilisha ratiba zao za mwanzo ili kufunga jumla mzunguko...

LIPULI YASAJILI MAJEMBE NANE YA KAZI, DIDA WA SIMBA NA YANGA NDANI

0
MLINDA mlango wa Simba wa zamani na Yanga Deogratius Munishi 'Dida' amejiunga na timu ya Lipuli ya Iringa kwenye usajili wa dirisha dogo.Leo Lipuli...

NJOMBE MJI HUKO MAMBO SIO MAMBO

0
EDGER Mtitu aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa timu ya Njombe Mji amebwaga manyanga kwa kile alichoeleza ni kutokuwa na maelewano na viongozi wenzake ndani ya...

KOCHA WA ASTON VILLA ATHIBITISHA KUMALIZIA TARATIBU ZA MWISHO KUINASA SAINI YAKE, AMPA TANO

0
DEAN Smith, Kocha Mkuu wa Aston Villa amesema kuwa timu yake ipo kwenye hatua za mwisho kukamilisha dili la kuipata saini ya mshambuliaji Mtanzania,...

SIMBA KUTUA BONGO LEO NA POINTI ZAKE SITA ZA KANDA YA ZIWA

0
KIKOSI cha Simba kilicho chini ya Kocha Mkuu, Sven Vanderbroeck leo kinatarajia kurudi Bongo kikitoe Mwanza baada ya kucheza mechi mbili za Ligi Kuu.Mechi...

YANGA YAWASHUKURU MASHABIKI YAWAITA NAMFUA JUMATANO

0
JUMA Abdul, nahodha msaidizi wa Yanga kuwa watapambana kwenye mechi zao zilizobaki kutokana na kutokuwa na matokeo mazuri kwenye mechi zao mbili za hivi...

AKILI ZA AZAM FC SASA ZIMEHAMIA HUKU, YAZIPIGIA HESABU POINTI TATU ZA MWADUI

0
UONGOZI wa Azam FC umesema kwa sasa unazipigia hesabu pointi tatu za Mwadui FC ya Shinyanga.Azam FC iliyo chini ya Arstica Cioaba iliifunga Yanga...

WAWILI WATWAA TUZO NDANI YA ALLIANCE

0
UONGOZI wa Alliance umendelea kutoa tuzo kwa wachezaji wao ambapo jana ilitoa tuzo kwa wachezaji wawili waliofanya vizuri mwezi Novemba na Desemba.Wachezaji hao wawili...