NYOTA STARS AENGULIWA MOJAKWAMOJA KAMBINI

0
MUDHATHIR Yahya sasa hatakuwa sehemu ya kikosi cha timu ya Taifa kutokana na kusumbuliwa na tatizo la kifundo cha mguu.Timu ya Taifa ya Tanzania...

MTIBWA SUGAR YAMALIZANA NA MAJEMBE MANNE FASTA

0
KIUNGO wa zamani wa Simba na kikosi cha KMC amejiunga na timu yake ya zamani ya Mtibwa Sugar.Humd alipigwa chini na uongozi wa KMC...

UMILIKI WA KLABU, DK MWAKYEMBE AMALIZA KABISA, SASA ASILIMIA 49 LAZIMA MWEKEZAJI ZAIDI YA...

0
DK MWAKYEMBEBaada ya mzunguko, hatimaye Waziri Mkuu wa Habari, Utamaduni na Michezo, Harrison Mwakyembe amewataka viongozi wa Shirikisho la Soka Tanzania TFF kuongeza uwazi...

JESHI LA MTU 16 TIMU YA TAIFA LILILOPO MAZOEZINI LEO

0
KIKOSI cha timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' kinaendelea na mazoezi ya kujiaanda na mchezo dhidi ya Kenya Julai 28 uwanja wa Taifa.Hili...

SASA YANGA KUKIPIGA NA WALE WALIOITOA SHOO EVERTON YA ENGLAND

0
Ikiwa ni katika kuelekea kilele cha Wiki ya Mwananchi, Yanga imepanga kucheza mchezo wake wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya wababe wa Everton FC...

AZAM FC: TUPO TAYARI KUPAMBANA KIMATAIFA

0
UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa tayari umeanza maandalizi ya kujiaanda na michuano ya kimataifa kweye kombe la Shirikisho.Akizungumza na Saleh Jembe, Ofisa Habari...

INTER MILAN NA MANCHESTER UNITED ZINAKOMOANA ISHU YA LUKAKU

0
ROMELU Lukaku mshambuliaji wa Manchester United anatajwa kukamilisha dili lake la kujiunga na Inter Milan wiki ijayo huku United nao wakiwakomoa mabosi wa Milan.Mabosi...

YANGA TAFADHARI MALIZENI HII HADITHI YA YONDANI…..

0
Na Saleh AllyYANGA tayari ipo kambini mjini Morogoro kujiandaa na msimu mpya wa 2019/20, msimu ambao mashabiki wengi wa Jangwani watakuwa na matarajio makubwa.Matarajio...

CHAMA NAYE AANZA MAKEKE YAKE LEO SIMBA IKIMPIGA 4-1 PLATINUM STARS

0
CLATOUS Chama, kiungo wa Simba leo amefanya yake wakati Simba ikiibuka kidedea kwa ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Platinum Stars.Mchezo huu ambao ni...

NAMUNGO FC YAFANYA BIASHARA NA BAROLA WA BIASHARA UNITED

0
NURDINE Barola aliyekuwa mlinda mlango wa kikosi cha Biashara United amesajiliwa na timu ya Namungo FC kwa kandarasi ya mwaka mmoja.Barola alifanya kazi na...