MAAMUZI MAGUMU KUFANYIKA NDANI YA SIMBA, MBADALA WA SVEN ATAJWA

0
Baada ya kikiso cha Simba kuonesha kiwango kilicho butu katika mechi za hivi karivuni, inaelezwa kuwa mabosi wa Simba wapo kwenye mchakato wa kusaka...

KUMEKUCHA, MFAUME ATAKA AZICHAPE NA MWAKINYO

0
Bondia Mfaume Mfaume amesema anataka kupambana na Bondia kutoka mjini Tanga, Hassan Mwakinyo muda wowote akitaka na kwa gharama yoyote anayotaka wakikubaliana.Mfaume amedai pambano...

MTAALAMU WA SOKA LA KISASA YANGA ASEPA ZAKE KWAO, KILICHOFANYIKA CHATAJWA

0
NGULI na mtaalam wa mfumo wa soka la kisasa, Carraca Antonio Domingoz Pinto (pichani), amefikia muafaka na Yanga na amerejea kwao kuweka mambo sawa...

LIONEL MESSI ATAJWA KUTUA MANCHESTER CITY

0
LIONEL Messi, mshambuliaji na nahodha wa Klabu ya Barcelona imeelezwa kuwa yupo kwenye hesabu za kutua ndani ya Klabu ya Manchester City inayoshiriki Ligi...

TASWA FC KUWAVAA STANBIC BANK, NGOMA KUPIGWA JUMAMOSI…

0
NA MWANDISHI WETUTIMU ya soka ya waandishi wa habari, Taswa FC, inatarajiwa kucheza mchezo wa kirafiki na timu ya Benki ya Stanbic Jumamosi hii...

KAGERE APELEKA MAUMIVU KWA MWAMUZI

0
KAMATI ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imepitia mwenendo wa matukio ya ligi na kufanya maamuzi mbalimbali...

YANGA WAFICHUA SIRI YA KUITWANGA LIPULI TAIFA

0
NAHODHA wa timu ya Yanga, Papy Tshishimbi amesema kuwa walipewa mbinu na Kocha Mkuu Luc Eymael za kuwabana Lipuli jambo lililowapa ushindi wa mabao...

KOCHA MANCHESTER UNITED: FERNANDES BADO HAJAFIKIA KUWA RONALDO

0
OLE Gunnars Solskjaer, Kocha Mkuu wa Manchester United amesema kuwa kiungo wake Bruno Fernandes hawezi kufananishwa na Cristiano Ronaldo kama wengi wanavyosema badala yake...

SIMBA YAIPIGIA HESABU JKT TANZANIA KESHO, TAIFA

0
UONGOZI wa Simba umesema kuwa timu itaendelea kupambana kwenye mechi zake zote za Ligi Kuu Bara ili kufikia malengo waliyojiwekea ya kutetea ubingwa msimu...