DULLA MBABE AENDELEA UBABE WAKE AMNYOOSHA MCHINA, JUMATATU KUREJEA BONGO
BONDIA Mtanzania Abdallah Pazi, maarufu kama Dulla Mbabe, amemtwanga Mchina, Zulipikaer Maimaitiali kwa TKO katika raundi ya tatu.Pambano hilo la ubingwa wa WBO Asian...
KELVIN YONDANI AHUSISHWA SIMBA
Kocha wa Uganda aliyewahi kutamba na Simba, Jackson Mayanja anaamini kama Kelvin Yondani angekuwa kwenye ukuta wa timu hiyo asingekubali kudhalilishwa ndani ya Uwanja...
ZAHERA ATAJA IDADI YA SUTI ANAZOMILIKI
Kocha Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera amesema kuwa ana suti zaidi ya pea 100 kabatini ambazo ataanza kutupia kila anapokuwa kwenye benchi la ufundi...
KOCHA SIMBA AJA NA MALENGO MENGINE YA KITOFAUTI MSIMU HUU
Kocha wa Simba, Patrick Aussems amesema ili aweze kutetea kibarua chake ndani ya kikosi hicho amepanga kutwaa mataji manne ambayo yatapoza hasira za mabosi...
MOHAMMED DEWJI ‘MO; AJA NA TAMKO ZITO KUHUSIANA NA SIMBA
Baada ya kukaa kimya tangu Simba iondolewe kunako Ligi ya Mabingwa Afrika na UD Songo, Mwekezaji Mkuu wa klabu hiy, Mohammed Dewji 'Mo', ameandika...
MUONEKANO WA GAZETI LA CHAMPIONI KATIKA UKURASA WA MBELE LEO JUMAMOSI
MUONEKANO WA GAZETI LA CHAMPIONI KATIKA UKURASA WA MBELE LEO JUMAMOSI
WAKATI IKIFAHAMIKA HAMRMONIZE AMESHAONDOKA WCB, TAZAMA ALICHOKIFANYA INSTAGRAM
Wakati ikifahamika kuwa Harmonize ameachana na lebo ya WCB iliyo chini ya Msanii, Diamond Platnumz, msanii huyo ameposti picha tatu Instagram hivi punde akiwa...
CR 7 ACHEKELEA USHINDANI WAKE NA MESSI
CRISTIANO Ronaldo, nyota anayekipiga Juventus amesema kuwa alikuwa anafurahia uwepo wake ndani ya Real Madrid kwa kupata ushindani mkubwa kwa mpinzani wake wa karibu...
MSEMAJI WA YANGA MPYA YANGA APATIKANA
Tunaweza kusema kuwa kile kilio cha mashabiki na wanachama wengi wa Yanga kutaka Dismas Ten aondolewe katika nafasi ya usemaji na badala yake atafutwe...
NAMBA 17 YANGA YALETA SINTOFAHAMU
Jezi namba 17 ambayo ilikuwa ikivaliwa na aliyekuwa mshambuliaji ya Yanga, Mrundi, Amissi Tambwe ambayo sasa inavaliwa na Mnamibia, Sadney Urikhob imezua balaa ndani...