NIYONZIMA AREJEA SIMBA, AWAPIGWA MKWARA UD SONGO

0
KIUNGO wa zamani wa Simba na Yanga, Haruna Niyonzima amesema kuwa hakuna timu yoyote yenye uwezo wa kuifunga Simba ikiwa inacheza kwenye Uwanja wa...

WAMEKUFA!! REKODI YAIBEBA SIMBA CAF

0
Wekundu wa Msimbazi Simba SC, watakuwa na kibarua kingine cha mchezo wa mkondo wa pili dhidi ya UD Songo, mechi itakayopigwa katika Uwanja wa...

KIKOSI TAIFA STARS KILICHOTANGAZWA KWA AJILI YA MECHI NA BURUNDI, MANULA NJE

0
KAIMU Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania, Ettiene Ndayiragije ameteua kikosi cha wachezaji 30 watakaoingia kambini kujiandaa na mchezo wa kutafuta nafasi...

LIVERPOOL V ARSENAL NI BALAA KESHO, REKODI ZAIBEBA TIMU HII HAPA

0
KUELEKEA kwenye mchezo wa kesho kati ya Liverpool na Arsenal Uwanja wa Anflied kiungo Alex Oxlade-Chamberlain ana uhakika wa kuendelea kudumu ndani ya kikosi...

MKENYA AHUKUMIWA MAISHA, KOSA NI KUMBAKA MWANANAMKE MGONJWA ALIYE NA MIAKA 74

0
Raia wa Kenya, Anthony Mamboleo Nyakeo amehukumiwa kifungo hicho baada ya kupatikana na hatia ya kumdhalilisha kingono Mwanamke mgonjwa wa miaka 74Nyakeo, aliyekuwa anafanya...

KMC YAONDOLEWA KOMBE LA SHIRIKISHO CAF, YAPIGWA 2-1 NA AS KIGALI KWA MKAPA

0
Mechi ya mkondo wa pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya KMC FC dhidi ya AS Kigalo kutoka Rwanda imemalizika kwa wenyeji kukubali...

KMC WATAJA SABABU YA KUPOTEZA MBELE YA AS KIGALI LEO TAIFA

0
JUMA Kaseja nahodha wa timu ya KMC amesema kuwa kilichowaponza leo kushindwa kutusua mbele ya AS Kigali ni kuruhusu makosa yaliyowapa ushindi wapinzani wao...

KIKOSI CHA KMC DHIDI YA AS KIGALI HIKI HAPA

0
Kikosi cha KMC dhidi ya As Kigali, mechi ya Kombe la Shirikisho Afrika1. Juma Kaseja2. Boniface Maganga3. Amosi Kadikilo4. Abdallah Mfuko5. Yusuph Ndikumana6. Ally...

HIZI NDIZO SEHEMU AMBAZO TIKETI ZA MECHI SIMBA NA UD SONGO ZINAUZWA

0
Uongozi wa klabu ya Simba umetangaza sehemu ambazo tiketi za mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya UD Songo ya Msumbiji zinauzwa.

AS KIGALI LAZIMA WAKE LEO

0
JACKSON Mayanja, Kocha Mkuu wa KMC amesema kwa sasa kikosi kipo sawa kumalizana na AS Kigali ya Rwanda kwenye mchezo wa marudiano utakaochezwa leo...